Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Mbona Man City jana hiyohiyo walishinda wakiwa nusu kwa dakika 80?...Duh!!!! Kweli mmenikomalia! Yani kila Mahali Ntuzu Teh Teh Teh Teh Teh
Chelsea tuna tisha! Yani mpk tuwe nusu ndio tufumgwe??!
Naona mmefurahi sn!
Leo mko na game nyie msiongee sn! Tuongee usiku baada ya game!
Kubali kushindwa Nkwingwa...