Mwanangu habari Ni nzuri tu! Nipo nimejaa tele!
Mwanangu Nafikiri ubora Wa jeshi langu mnauona!
Yani natamani sn ifike Hiyo siku haraka Yule Mzee aanguke tena!
Mtautafuta mpira kwa tochi siku Hiyo!
mapengo ya wakata umeme wilian na ramires yatazibwa na nan? Au mnatuwekea ngome kongwe lampad?
mapengo ya wakata umeme wilian na ramires yatazibwa na nan? Au mnatuwekea ngome kongwe lampad?
Willian si 'mkata umeme' ... dogo anacheza kwenye jukumu la #10 jana uliangalia tulivyowafanya Gala?
Matic hakucheza: Lampard na Ramires walicheza:
Ikitokea hayupo Willian; anacheza Shurrle au Salah:
Kama Ramires hayupo: John Obi Mikel yupo tayari wakati wowote.
Timu pekee iliyoingia robo fainali ya UCL kutoka Uingereza msimu huu: CHELSEA FC :first:
sasa game ya jana si mlikua mnakamilisha tu. We ulitegemea drogba jana angekaza? Mlikua tayari mmemuua kisaikolojia na mabango yenu ya kumsifu.. Angekua mzungu sawa ila mwafrika ukimtukuza hakufungi.
Willian si 'mkata umeme' ... dogo anacheza kwenye jukumu la #10 jana uliangalia tulivyowafanya Gala?
Matic hakucheza: Lampard na Ramires walicheza:
Ikitokea hayupo Willian; anacheza Shurrle au Salah:
Kama Ramires hayupo: John Obi Mikel yupo tayari wakati wowote.
Timu pekee iliyoingia robo fainali ya UCL kutoka Uingereza msimu huu: CHELSEA FC :first:
Mpira akili;
tumebaki peke yetu UCL; chelsea kiboko yao:first:
anaebaki peke yake ni bingwa tu,kwani UCL imeisha??last time i checked ilikuwa ni robo fainali,timu nane zimebaki
Ulipaswa kujibu siku niliyoposti; hii inaonyesha hujiamini kabisa:
sasa unafikiri Mwanitesa watafika wapi?
Ulipaswa kujibu siku niliyoposti; hii inaonyesha hujiamini kabisa:
sasa unafikiri Mwanitesa watafika wapi?
kila timu sasa hivi inaomba wakutane nao...mteremko wa ukweli.
you will eat your words.