Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Jaman tanesco tayari
atupendi kuomba matokeo hvi msada tafadhali
 
Half Time

Galatasaray 0 Chalsea 1

Hii Half Time haimaliziki?

Update matokeo, N -zutu. Au tttttanesco hawaipendi mechi hii?

Au umepata umbo laini? umehamia kwenye numba ya nzi ( choo cha manzese?)
 
Wametoka na chupi mkononi,mlizani kibamia eeeh?
Nani katoka na Chupi? Chelsea au Gala?
Mi nashindwa kuwaelewa ninyi mashabiki wa Asernali, jana mapovu yalikuwa yanawatoka mpaka basi, hii ni chelseafc siyo Azam fc au Majungu FC, Tizama rekodi ya Jose kama alishawai kufungwa na Roberto Mancini au kufungwa hapo Kuzimu. Tuna gori moja la ugenini... watakufa tu! #InJoseMourinho we trust
 
Nani katoka na Chupi? Chelsea au Gala?
Mi nashindwa kuwaelewa ninyi mashabiki wa Asernali, jana mapovu yalikuwa yanawatoka mpaka basi, hii ni chelseafc siyo Azam fc au Majungu FC, Tizama rekodi ya Jose kama alishawai kufungwa na Roberto Mancini au kufungwa hapo Kuzimu. Tuna gori moja la ugenini... watakufa tu! #InJoseMourinho we trust


Usibishane na Mburura Au Mburukenge!

Matokeo yako wazi na Dhahir kabisa'!

City lost 2 nill

Arsenal lost 2 nill

Utd lost 2 nill

Chelsea drew away with one goal aggregate!

Sasa ni timu ipi Hapo yenye uhakika Wa kwenda mbele?
 
Ila lazima niseme...Willian kwangu ndiyo alikuwa Flop of the team kwa kweli...!!!
 
sijui kama mtachukua kombe nyie maana mnavyojisifia chelsea hamna lolote tangia mfunge ako kabao kamoja
dhidi ya everton basi kero mnaongeaaaaaaa
mtadhani mumewekea morta midomoni mwenu


Usibishane na Mburura Au Mburukenge!

Matokeo yako wazi na Dhahir kabisa'!

City lost 2 nill

Arsenal lost 2 nill

Utd lost 2 nill

Chelsea drew away with one goal aggregate!

Sasa ni timu ipi Hapo yenye uhakika Wa kwenda mbele?
 
Last edited by a moderator:
1796451_955888944451322_977416565_n.jpg



1959667_955860581120825_93798872_n.jpg
 
Ila lazima niseme...Willian kwangu ndiyo alikuwa Flop of the team kwa kweli...!!!

Kaka kijana ilibidi acheze vile maana tulikuwa ugenini na nd maana hakutolewa, labd unambie Andre' nd hakuwa vzuri!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom