Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Haters wote hawana pakupumulia, mpira ni dakika tisini, mlitamani tupate hata suluhu leo

1897882_10152280629662259_974399611_n.jpg 1796611_10152280471317259_40165718_n.jpg 0,,10268~12617386,00.jpg
 
Haters wote hawana pakupumulia, mpira ni dakika tisini, mlitamani tupate hata suluhu leo

View attachment 141026View attachment 141027View attachment 141028


kweli kabisa; bado mechi 11, tukiendelea hivi naona ubingwa umeanza kunukia.
Kwa sababu mechi ijayo itakuwa CFC vs FULHAM.

naona kabisa tutaendelea kuongoza ligi kwa muda mrefu; wadau kukumbushana tu; mechi ya mwisho ambayo Chelsea ilifungwa ilikuwa dhidi ya STOKE CITY. hadi leo hii tukifungwa ni droo tu.:first:
 
kabisa kabisa.ila ya ligi kuu yashaisha sasa lets go for ucl this mid week na tuwaonyeshe arsenal na man city how to play and win match in ucl(man u and chelsea)


Nothing to worry for UCL! Galatasaray they have got a big mountain to climb not Chelsea!
 
kweli kabisa; bado mechi 11, tukiendelea hivi naona ubingwa umeanza kunukia.
Kwa sababu mechi ijayo itakuwa CFC vs FULHAM.

naona kabisa tutaendelea kuongoza ligi kwa muda mrefu; wadau kukumbushana tu; mechi ya mwisho ambayo Chelsea ilifungwa ilikuwa dhidi ya STOKE CITY. hadi leo hii tukifungwa ni droo tu.:first:


We are the champion!
 
Nachikia mlibebwa na mbeleko ..... .... .. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
article-2565726-1BBF9CEE00000578-409_636x421.jpg


Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

article-2565726-023338B80000044D-247_634x442.jpg


Flashpoint: Samuel Eto'o (centre) confronts Didier Drogba
with referee Anders Frisk taking charge



article-2565726-03ACF10A0000044D-815_634x452.jpg


Bitter wound: Drogba remonstrates with Barca keeper Victor Valdes
after the foul which saw him dismissed

article-2565726-0246B2EC0000044D-734_634x449.jpg


Making his point: Frisk (right) quit football after being subject
to death threats over the incident

article-2565726-1BBBFF5B00000578-343_634x477.jpg


Cry baby khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mentor, I have to admit, I am very impressed with Matic, it's like he has never been away, kudos to JM for bringing him back

Mikel played Vs City and didn't impress, as usual (sell him), Luiz, as you know, is unpredictable, Lamps had a fantastic game yesterday and Ramires is slowly getting back to his best but none of them has the commanding authority in that area like Matic.

And so the question remains, how will you fare without him in those tuesday/wednesday nights?
 
Last edited by a moderator:
Mentor, I have to admit, I am very impressed with Matic, it's like he has never been away, kudos to JM for bringing him back

Mikel played Vs City and didn't impress, as usual (sell him), Luiz, as you know, is unpredictable, Lamps had a fantastic game yesterday and Ramires is slowly getting back to his best but none of them has the commanding authority in that area like Matic.

And so the question remains, how will you fare without him in those tuesday/wednesday nights?


umesema vizuri mkuu 'mourinho'. uzuir wa Matic ni kwamba jamaa ni mtulivu sna; hana makeke kwenye uchezaji wake, Mikel ni muhimu sana kwa Chelsea; kwenye UCL ..Obi Mikel na Ramires wakicheza pale kati ni sawa; au Lampard na Ramires: Uzuri wa Ramires ni box to box midfielder.

Kuhusu hoja ya "how will we fare without Matic in those tuesday/wednesday nights" let's wait and see!

remember what we did in the UCL FINAL in Munich 19th of May 2012.
Lampard na Mikel walicheza pale kati; na tulishinda.
Final ya EUROPA LEAGUE ..pale Amsterdam Arena last year; pia tulitoboa.

uzuri wa chelsea; ni watu 4 wa mwisho; Terry-Cahill-Ivanovic-Azp. hao wakiwa sawa mie huwa sina shida sana.
Pia jambo lingine zuri ni hawa vijana wetu wanaocheza #10 role: Willian-Oscar-Hazard.

Jumatano usiku; kitaeleweka tu. But we miss the legend 'didier drogba'

CFC - CHELSEA THE BLUES.🙂
 
umesema vizuri mkuu 'mourinho'. uzuir wa Matic ni kwamba jamaa ni mtulivu sna; hana makeke kwenye uchezaji wake, Mikel ni muhimu sana kwa Chelsea; kwenye UCL ..Obi Mikel na Ramires wakicheza pale kati ni sawa; au Lampard na Ramires: Uzuri wa Ramires ni box to box midfielder.

Kuhusu hoja ya "how will we fare without Matic in those tuesday/wednesday nights" let's wait and see!

remember what we did in the UCL FINAL in Munich 19th of May 2012.
Lampard na Mikel walicheza pale kati; na tulishinda.
Final ya EUROPA LEAGUE ..pale Amsterdam Arena last year; pia tulitoboa.

uzuri wa chelsea; ni watu 4 wa mwisho; Terry-Cahill-Ivanovic-Azp. hao wakiwa sawa mie huwa sina shida sana.
Pia jambo lingine zuri ni hawa vijana wetu wanaocheza #10 role: Willian-Oscar-Hazard.

Jumatano usiku; kitaeleweka tu. But we miss the legend 'didier drogba'

CFC - CHELSEA THE BLUES.🙂

Okay, let's wait and see

Oscar kashuka sana kiwango, jana alikua anajigonga tu kwa Barry

Mikel simkubali kwa sababu ni mzito sana wa kufanya maamuzi, akipata mpira ndio anaanza kufikiria aupeleke wapi, Matic anajua atapiga wapi pass kabla hata hajapata mpira

Lampard wa 2012 sio Lamps wa 2014 Mkuu, Ramires kiasi fulani kadrop sijui ni kwa sababu anachezeshwa sana? Anahitaji kuregain his form kama atakabana na kina Kroos, Matuidi, Modric n.k

Ni muhimu sana hiyo back four yenu isitetereke, hasa JT. Azplicueta anakuwa mzuri kila baada ya match, kama atarudishwa kulia mkimpata Shaw itakua safi sana maana kwa sasa hajiamini kupanda mbele kusaidia mashambulizi kama Ivanovic

Match za last week(UCL) sikuwa totally convinced kwamba Barca ana Bayern are that good kama wanavyosifiwa, sijui kama zote zingepata matokeo waliyopata kama marefa wangekua na busara kidogo

Ngoja tuwaone na Madrid this week, nadhani team zote bado zina chance ya kufika mbali, including Arsenal na Man city
 
umesema vizuri mkuu 'mourinho'. uzuir wa Matic ni kwamba jamaa ni mtulivu sna; hana makeke kwenye uchezaji wake, Mikel ni muhimu sana kwa Chelsea; kwenye UCL ..Obi Mikel na Ramires wakicheza pale kati ni sawa; au Lampard na Ramires: Uzuri wa Ramires ni box to box midfielder.

Kuhusu hoja ya "how will we fare without Matic in those tuesday/wednesday nights" let's wait and see!

remember what we did in the UCL FINAL in Munich 19th of May 2012.
Lampard na Mikel walicheza pale kati; na tulishinda.
Final ya EUROPA LEAGUE ..pale Amsterdam Arena last year; pia tulitoboa.

uzuri wa chelsea; ni watu 4 wa mwisho; Terry-Cahill-Ivanovic-Azp. hao wakiwa sawa mie huwa sina shida sana.
Pia jambo lingine zuri ni hawa vijana wetu wanaocheza #10 role: Willian-Oscar-Hazard.

Jumatano usiku; kitaeleweka tu. But we miss the legend 'didier drogba'

CFC - CHELSEA THE BLUES.🙂


Mkuu agosti 8 hicho kitu alichosema mdau wetu Mourinho ata Jose Mourinho kagusia! Lkn Mimi nilivyo muelewa Jose ni kwamba yuko ktk muendelezo wake Wa kucheza na maneno! Na kwa upande mwingi anafurahi Kua na Watu km Salah na Matic ambao wanachza EPL na Hawa wengine km Obi na Ramires na Lampard wakacheza UCL!

Kweli kuko Na majeruhi flani ktk kikosi Ingawa sio makubwa sn Lkn hayo hayawezi pelekea timu ikashindwa kufanya vzr! Na km mnaweza kugundua Jose kwa sasa anajitahidi sn kupumzisha wachezaji na kuchanganya kikosi na kuwalinda wasiumie!

Binafsi sina Mashaka kabisa!
 
Last edited by a moderator:
Okay, let's wait and see

Oscar kashuka sana kiwango, jana alikua anajigonga tu kwa Barry

Mikel simkubali kwa sababu ni mzito sana wa kufanya maamuzi, akipata mpira ndio anaanza kufikiria aupeleke wapi, Matic anajua atapiga wapi pass kabla hata hajapata mpira

Lampard wa 2012 sio Lamps wa 2014 Mkuu, Ramires kiasi fulani kadrop sijui ni kwa sababu anachezeshwa sana? Anahitaji kuregain his form kama atakabana na kina Kroos, Matuidi, Modric n.k

Ni muhimu sana hiyo back four yenu isitetereke, hasa JT. Azplicueta anakuwa mzuri kila baada ya match, kama atarudishwa kulia mkimpata Shaw itakua safi sana maana kwa sasa hajiamini kupanda mbele kusaidia mashambulizi kama Ivanovic

Match za last week(UCL) sikuwa totally convinced kwamba Barca ana Bayern are that good kama wanavyosifiwa, sijui kama zote zingepata matokeo waliyopata kama marefa wangekua na busara kidogo

Ngoja tuwaone na Madrid this week, nadhani team zote bado zina chance ya kufika mbali, including Arsenal na Man city

Mkuu km unfatilia game za Chelsea baada ya Chelsea kushinda kwa City 3 mwezi huu, game zilizofata Karibu zote wameshuka Kiwango kidogo! Na Si Chelsea tu peke Yao! Ata Man City, Arsenal. Lkn hii ktk hizi game za UCL itakua tofauti kidogo kwasababu timu zitabidi zicheze vzr Zaidi!

Tukija kwenye kikosi cha Chelsea, Mimi kwangu yoyote atakaepangwa mambo yatakua mazuri tu!
 
Mkuu km unfatilia game za Chelsea baada ya Chelsea kushinda kwa City 3 mwezi huu, game zilizofata Karibu zote wameshuka Kiwango kidogo! Na Si Chelsea tu peke Yao! Ata Man City, Arsenal. Lkn hii ktk hizi game za UCL itakua tofauti kidogo kwasababu timu zitabidi zicheze vzr Zaidi!

Tukija kwenye kikosi cha Chelsea, Mimi kwangu yoyote atakaepangwa mambo yatakua mazuri tu!

Mkuu mimi nafuatia Serie A with my beloved Juventus, EPL na La Liga. Ligue 1 labla game ya matajiri, Bundasliga imeniboa toka igeuke kuwa monopoly na team moja

City of coz wamedrop kidogo toka wafungwe na Brani, hata jana walisumbuka sana kuwafunga STK na nadhani watapata shida sana nyumbani kwa Man United, Arsenal, Liverpool na Everton

Arsenal wanakosa viongozi uwanjani, watu kama Viera, Adams, Keown, Gilberto Silva, Henry ni rahisi sana kupotea kwenye match kubwa, mfano mechi zao Vs Chelsea, Man City&United, Liverpool na Everton na wana mechi ngumu sana za away

Hapo unaposema akipangwa yeyote ni sawa ndio tunapishana, hivi hujiulizi angekuwepo JT uwanjani West Bron wangesawazisha? Bila Hazard mngewafunga Newcastle? Bila JT jana mngeshinda? Na je golini angekua anakaa Mark Schwarzer mngekua na rekodi nzuri defensively kuliko team zote mpaka sasa kwenye EPL?

Wachezaji wote ni muhimu ila wanazidiana uwezo wa kuamua matokeo na kuwapanga wenzao uwanjani
 
Mkuu mimi nafuatia Serie A with my beloved Juventus, EPL na La Liga. Ligue 1 labla game ya matajiri, Bundasliga imeniboa toka igeuke kuwa monopoly na team moja

City of coz wamedrop kidogo toka wafungwe na Brani, hata jana walisumbuka sana kuwafunga STK na nadhani watapata shida sana nyumbani kwa Man United, Arsenal, Liverpool na Everton

Arsenal wanakosa viongozi uwanjani, watu kama Viera, Adams, Keown, Gilberto Silva, Henry ni rahisi sana kupotea kwenye match kubwa, mfano mechi zao Vs Chelsea, Man City&United, Liverpool na Everton na wana mechi ngumu sana za away

Hapo unaposema akipangwa yeyote ni sawa ndio tunapishana, hivi hujiulizi angekuwepo JT uwanjani West Bron wangesawazisha? Bila Hazard mngewafunga Newcastle? Bila JT jana mngeshinda? Na je golini angekua anakaa Mark Schwarzer mngekua na rekodi nzuri defensively kuliko team zote mpaka sasa kwenye EPL?

Wachezaji wote ni muhimu ila wanazidiana uwezo wa kuamua matokeo na kuwapanga wenzao uwanjani


Anyway! Kila mmoja na mtizamo wake! Lkn Mimi niko na Imani na wachezaji wote Wa Chelsea ms mchezaji Kua bench sio km Kiwango chake ni kidogo! Ni kupokezana tu majukumu! Ingawa wengine hurdles bench kutokana na makosa Au sababu zingene!
 
3289509.jpg




Cowshed under constant repairs .... .... .....
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom