Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nipe gwara
images%20(19).jpg
 
Game 1 kwa wiki msim mzima mara chache sana ndio tumecheza na katikati ila mpaka ukiuliza kipi tunacheza ni Inshaallah tu

Halaf kuna mtu anatokea huko anamtetea huyu mpuuzi

Msim uliopita tulikuwa wabovu ila tulikuwa hatufungwi hivi
 
Ushindi wetu wa Everton umefutwa na magoli yake. Tunaanza from zero kwa sababu ya Kocha mjinga na wanaomtetea ni wajinga wote

Badiashile anagawa mipira tangu arudi majeruhi hadi leo kocha bado anamuamini tena kwenye mechi kama hizi
Disasi mzito unamuweka na Silva anakaa benchi huku haumwi

Kocha asiyejali hisia za mashabiki ni mjinga sana
 
Ushindi wetu wa Everton umefutwa na magoli yake. Tunaanza from zero kwa sababu ya Kocha mjinga na wanaomtetea ni wajinga wote

Badiashile anagawa mipira tangu arudi majeruhi hadi leo kocha bado anamuamini tena kwenye mechi kama hizi
Disasi mzito unamuweka na Silva anakaa benchi huku haumwi

Kocha asiyejali hisia za mashabiki ni mjinga sana
Naweza Sema hivi wote wanaomtetea Poch,Akili zao na za Poch wote hawajui chochote wapimwe akili sio bure
 
Watu tumemiss kupiga watu mikono, mnajua tuna arosto ya mkono, halafu nyie kenge mnakuja kihasara hasara.

Tena bahati yenu. Mlikuwa mle si chini ya 8 nyie.
 
Watu tumemiss kupiga watu mikono, mnajua tuna arosto ya mkono, halafu nyie kenge mnakuja kihasara hasara.

Tena bahati yenu. Mlikuwa mle si chini ya 8 nyie.
Nilisema tangu mwanzo baada ya ile line up tu nikasema mpaka hapo mna 2+

Ila kwakuwa humj ndani kuna watu huwa hawataki kuelewa acha tuendelee tu

Huwez anza na back 4 ya cucu badiashile disasi Gilchrist ambayo haijawah cheza game yoyote kwa pamoja kitu kibaya zaidi ni combo ya Disasi na Badiashile

Silva na Chalobah walikuwa wanafanya vizuri recently ila katika game muhimu unafanya experiment. Kichwan zero kabisa

City,Liverpool wote wameenda emirates kwa tahadhar yeye sasa

Hamna siku nimeumia kama leo shenzi kabisa huyu mpuuzi na wale wote wanaomtetea poch
 
Nilisema tangu mwanzo baada ya ile line up tu nikasema mpaka hapo mna 2+

Ila kwakuwa humj ndani kuna watu huwa hawataki kuelewa acha tuendelee tu

Huwez anza na back 4 ya cucu badiashile disasi Gilchrist ambayo haijawah cheza game yoyote kwa pamoja kitu kibaya zaidi ni combo ya Disasi na Badiashile

Silva na Chalobah walikuwa wanafanya vizuri recently ila katika game muhimu unafanya experiment. Kichwan zero kabisa

City,Liverpool wote wameenda emirates kwa tahadhar yeye sasa

Hamna siku nimeumia kama leo shenzi kabisa huyu mpuuzi na wale wote wanaomtetea poch
Pole sana, hii timu itakuja kukuua
 
Kocha wenu mjinga.

Kila timu inayotaka kumfunga Arsenal inaridhia kupaki basi
Kuna watu watakubishia😂😂😂 ila ndio ukweli huo

Tangu mwaka jana tunaongea humu Poch ni takataka ila kuna watu humu akili zao kama za Poch
 
Hakuna haja ya kuwahisha kina James,Nkunku au Fofana acheni wakae wodini wasubiri msimu ujao waje wakiwa na kocha mzuri.

Wamruhusu tu Enzo afanyiwe surgery yake ya Hernia kazi iishie hapa

As long as Kocha ni Poch msitegeme mabadiliko yoyote

Ni Afadhali ya Potter kuliko Poch
 
  1. Petrovic ni golkipa mzuri, makosa yake madogo madogo ni kwa sababu ya kuelemewa na mashambulizi huku wachezaji hawamlindi.
  2. Disasi hata kama tutakuwa naye msimu ujao, ni mchezaji wa kujazia jazia sio starter mzuri - confirmed
  3. Badiashile tangu atoke majeruhi amekuwa mzito na mzigo sana na ni mgawaji wa mipira sana hata maeneo ya hatari, ametutosa sana. Hata kama siku moja atakuja kuwa CB mzuri kiwango cha Dunia ila sio hapa Chelsea, huyo auzwe tu tumpate CB wa kuleta impact ya haraka sana. Hatatufaa kwenye safari ya kwenda kwenye nchi ya ahadi
  4. Cucurella ni mchezaji anayejituma sana na hata kwenye mchezo wa leo dhidi ya Arsenal kacheza vizuri ila hatatufaa kwenye hii safari ya kwenda kwenye nchi ya ahadi kwa sababu hana IQ nzuri ya mpira
  5. Sterling sina maneno mengi, auzwe tu msimu huu akazeekee huko Saudi
  6. Mudryk aidha apewe dakika chache kwenye mechi zisizo na umuhimu au apelekwe mkopo
  7. Madueke - achapwe viboko ili ajifunze kukaba, mchezaji asiyejua kukaba ni mzigo. Akiwa hana mpira Madueke ni wa hovyo sana
  8. Jackson, anajitahidi sana ila wachezaji wa Chelsea hawamuungi mkono. Ila naye akiongeza kuwa agressive atakuwa star mkubwa sana
  9. Viungo sitawaongelea kwa sababu ni tatizo la kocha, muunganiko na balance ya kiungo inaharibiwa na upangaji wa kocha. Enzo alitakiwa apumzishwe, Galagher acheze na Caicedo, aachane kucheza kule mbele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom