Goodluck Mchika
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 1,228
- 1,143
Huwa tunasema humuMadueke..🚮🚮🚮🚮
Huwa tunasema humuMadueke..🚮🚮🚮🚮
Naweza Sema hivi wote wanaomtetea Poch,Akili zao na za Poch wote hawajui chochote wapimwe akili sio bureUshindi wetu wa Everton umefutwa na magoli yake. Tunaanza from zero kwa sababu ya Kocha mjinga na wanaomtetea ni wajinga wote
Badiashile anagawa mipira tangu arudi majeruhi hadi leo kocha bado anamuamini tena kwenye mechi kama hizi
Disasi mzito unamuweka na Silva anakaa benchi huku haumwi
Kocha asiyejali hisia za mashabiki ni mjinga sana
....FT. Ars 5-0 Chel
Fukuza hii takataka,Huwa hajifunzi na chochote Fukuza
Aibu
Wangemuua leo uyuOya huyu cucurella 🤣🤣
Nilisema tangu mwanzo baada ya ile line up tu nikasema mpaka hapo mna 2+Watu tumemiss kupiga watu mikono, mnajua tuna arosto ya mkono, halafu nyie kenge mnakuja kihasara hasara.
Tena bahati yenu. Mlikuwa mle si chini ya 8 nyie.
Pole sana, hii timu itakuja kukuuaNilisema tangu mwanzo baada ya ile line up tu nikasema mpaka hapo mna 2+
Ila kwakuwa humj ndani kuna watu huwa hawataki kuelewa acha tuendelee tu
Huwez anza na back 4 ya cucu badiashile disasi Gilchrist ambayo haijawah cheza game yoyote kwa pamoja kitu kibaya zaidi ni combo ya Disasi na Badiashile
Silva na Chalobah walikuwa wanafanya vizuri recently ila katika game muhimu unafanya experiment. Kichwan zero kabisa
City,Liverpool wote wameenda emirates kwa tahadhar yeye sasa
Hamna siku nimeumia kama leo shenzi kabisa huyu mpuuzi na wale wote wanaomtetea poch
Kuna watu watakubishia😂😂😂 ila ndio ukweli huoKocha wenu mjinga.
Kila timu inayotaka kumfunga Arsenal inaridhia kupaki basi
Kuna wengine humu hawatak kukubali kuhusu poch.Wao eti wanaona wanaweza kupishana na sisi. Hawamsomagi mkorea humu nini?