Mourinho
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 4,619
- 2,328
mechi saa ngp wakuu?
15:45 eat
mechi saa ngp wakuu?
mechi saa ngp wakuu?
15:45 eat
Mkuu upo..? Naona unasubiri sare ya leo...Barry leo anazunguka na Hazard tu...manake Etoo hana madhara pale mbele.
Nipo Mkuu, match nzuri sana lakini ngumu kwa team zote mbili, Chelsea wanatakiwa kuwa na discipline ya hali ya juu kama watashinda hapa.
Hazard ana kale ka bwana mdogo Coleman, beki mmoja mzuri sana
Bado naamini hii game ni suluhu Mourihno...Sioni mkitengeneza nafasi za kufunga...Hazard yupo kimya sana...labda kipindi cha pili mbadilike
dk 72 chelsea wanatoka jasho...0-0
Mou, hii laana ya kumtukana mzee wenger itamtesa sana katika mechi zilizobaki
Mou, hii laana ya kumtukana mzee wenger itamtesa sana katika mechi zilizobaki
I realy hate magoli ya dk ya 92. Nimeumia sana chelsea leo kushinda i thought walikuwa washapoteza tayari pointi mbili dah kweli mpira dk tisini na za nyongeza