Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1712705327630.png
 
Angalia SUB za makocha inavyobadili matokeo

Xavi
61" Pedri subbed on
62" Pedri provided top assist for 2-2

76" Christensen subbed on
77" Christensen scored Barça's winner.

Madrid 2: City 3 . Modric on 3:3

Arsenal 1: Bayern 2 . Trossard on 2:2

Chelsea 2 : Sheffield 1 : Pochettino brings Badiashile 2:2

Halafu bado kuna mashabiki mediocre wanaomsapoti huyu mhuni wa soka
 
Finali za UEFA mwaka 2021
Chelsea ilikuwa a James na Kante wakiwa kwenye fomu ya hali ya juu
Kipa Mendy naye ndie alikuwa an tourchable
KUle nyuma, Rudiger, Andrea Christansen na Azpilicueta ndio usiseme
Tuliwafurahia kwa kweli

1712819972350.png


Substitutes
1 K Arrizabalaga
3 M Alonso
4 A Christensen aliingia 39 baada ya Silva kuumia
10 C Pulisic 66th minute
13 W Caballero
15 K Zouma
17 M Kovacic 80th minute
18 O Giroud
20 C Hudson-Odoi
22 H Ziyech
23 B Gilmour
33 Emerson
 
Jana Disasi alikuwa busy kurudisha mipira kwa kipa au silva, very bussy, RB mbovu kuwahi kutokea kwenye jezi ya Chelsea. Akicheza CB anakuwa afadhali kidogo. Pochettino yeye anaona hayo ni sawa kabisa, tukimtukana kuna wapenzi wake hapa wanakuja kumtetea

Jana Cole Palmer alikasirishwa mara kwa mara na Axel Disasi kwa kutopeleka mipira mbele vya kutosha na alimzomea mara nyingi kuwa katika nafasi nzuri ya kutoa nafasi kwa washambuliaji.
Kubaya huko ngoja waje wenyewe watakwambia Disas ni sawa kucheza RB😁😁
 
Huyu mbuzi kipindi anakuja interview yake ya kwanza hakusema huu upuuzi wa process, nakumbuka alisema ukiwa Chelsea ni kwa ajili ya kuchukua makombe. Leo anatuambia habari za process, huyu kenge ameisha feli.
Watu hawataki elewa hilo
 
Enzo n Disasi wote ni majeruhi na kuna uwezekano wakaukosa mchezo dhidi ya Everton hapo jumatatu
 
Pochettino: "Nadhani ninahitaji kuwa mwangalifu zaidi kuhusu maneno yangu baada ya mchezo. Ni ukweli kwamba tuna kikosi kichanga, lakini pia nahitaji kuweka ujumbe tofauti. Ujumbe ni kujaribu kuboresha. Tunafanya kazi ngumu sana kufanya hivyo."

Pochettino: "I think I need to be more cautious about my words after the game. It is a fact we have a young squad, but also I need to put out a different message. The message is to try and improve. We are working very hard to do so."
 
Makocha hutengeneza au kuharibu timu.

Frank Lampard alisema wachezaji wa Chelsea (kabla ya Tuchel) hawakuwa tayari kushindania makombe. Ilikuwa ni "Managerial failure".

Miezi mitano baadaye, Thomas Tuchel alisema ataijenga timu ambayo kila mpinzani hatataka kukutana nayo. Aliwajen ga kisaikolojia wachezaji wale wale aliokuwa nao Frank Lampard na kuwafanya kuwa washindi wakuu wa Ligi ya Mabingwa. Ulaya. Ilikuwa ni "managerial success".

Anachofanya Pochettino sasa ni "Managerial Failure" kwa kuwaita kila siku vijana hawako tayari kushinndana, bado ni wachanga, hawana uzoefu kwenye ligi, hawawezi kucheza mara mbili kwa wiki katika ligi iliyosongamana, mradi huyu ni mchakato unaoweza kuchukua miaka mitatu hadi mitano. Too much negativity kwenye media na press conference zake. Hizi negativity zikiwa nyingi na za mara kwa mara kama propaganda ya siasa au vita inawafanya wachezaji wafanane na hizo propaganda zilizojaa negativity na hivyo kushindwa kucheza vizuri kama ambavyo wangeweza kucheza wakiwa chini ya kocha kama Tuchel
Nilishawahi kusema mara nyingi Pochettino anaongea vibaya kwenye media kwa kuongea maneno yasiyoleta uwajibikaji kwa wachezaji ambao hawajitumi ndani yatimu. Anawatetea sana kupita kiasi na kuwafanya wachezaji wasiojituma kuendelea kuwa hivyo.

Sasa Pochettino kajiona kuwa ni mropokaji kweli

Pochettino: "Nadhani ninahitaji kuwa mwangalifu zaidi kuhusu maneno yangu baada ya mchezo. Ni ukweli kwamba tuna kikosi kichanga, lakini pia nahitaji kuweka ujumbe tofauti. Ujumbe ni kujaribu kuboresha. Tunafanya kazi ngumu sana kufanya hivyo."

Pochettino: "I think I need to be more cautious about my words after the game. It is a fact we have a young squad, but also I need to put out a different message. The message is to try and improve. We are working very hard to do so."
1712954791951.png
 
Ni vile tu Hatuna Kocha, tungekuwa na kocha mzuri top 4 tungemaliza ila kwa kiwa tunahuyi msimamiz wa mazoezi tunaishia hapa hapa 9-10.
 
Ni vile tu Hatuna Kocha, tungekuwa na kocha mzuri top 4 tungemaliza ila kwa kiwa tunahuyi msimamiz wa mazoezi tunaishia hapa hapa 9-10.
Tukimaliza nafas za juu huyu Pochi nene hatofukuzwa tupgwe tu ili afukuzwe.
 
Pochettino anasema Chelsea wasingeweza kustahimili kuwa kwenye mashindano ya Ulaya msimu huu, kutokana na majeruhi ya kwenye timu.

Na kwamba kuweka lengo kama hilo la kufuzu isingekuwa na tija, kwa kuzingatia maswala ya timu

1713061828442.png
 
Kwa kuwa tunamsimamiz wa mazoez hatuwez kutumia hii nafasi.

Tunakocha wa hovyo kuwahi kutokea
 

Attachments

  • IMG_2557.jpeg
    IMG_2557.jpeg
    46.1 KB · Views: 8
Xabi Alonso alipochukua usukani Oktoba 5, 2022, Bayer Leverkusen walikuwa wa pili mkiani mwa Bundesliga na walikuwa na mwanzo wao mbaya zaidi wa msimu tangu 1979. Lakini Xabi aligeuza mambo na kuiongoza timu hiyo kumaliza katika nafasi ya sita kwenye Bundesliga.

Katika kampeni za 2023/24, Xabi Alonso alifanya uchawi wake tena, na kuiongoza Leverkusen kwa mechi 29 ya ajabu bila kushindwa na kufanikiwa kutwaa taji la Bundesliga kwa mara ya kwanza katika historia ya klabu hiyo.

Leverkusen iliposhinda kwa ushindi wa 2-1 dhidi ya Mainz Siku ya Mechi ya 23 ya Bundesliga, waliendeleza msururu wao wa kutoshindwa hadi mechi 33 za kustaajabisha katika mashindano yote. Jambo hili la ajabu sasa linawainua juu ya timu ya Bayern Munich ya Hansi Flick ya 2020 na 2021 katika kumbukumbu za historia. Bila shaka, mabingwa hao wa Bundesliga wamedhihirisha ubabe wao usio na mpinzani kwa kupata mbio ndefu zaidi bila kushindwa hata moja na timu ya Ujerumani katika mashindano yote.

1713129273868.png
 
Xabi Alonso alipochukua usukani Oktoba 5, 2022, Bayer Leverkusen walikuwa wa pili mkiani mwa Bundesliga na walikuwa na mwanzo wao mbaya zaidi wa msimu tangu 1979. Lakini Xabi aligeuza mambo na kuiongoza timu hiyo kumaliza katika nafasi ya sita kwenye Bundesliga.

Katika kampeni za 2023/24, Xabi Alonso alifanya uchawi wake tena, na kuiongoza Leverkusen kwa mechi 29 ya ajabu bila kushindwa na kufanikiwa kutwaa taji la Bundesliga kwa mara ya kwanza katika historia ya klabu hiyo.

Leverkusen iliposhinda kwa ushindi wa 2-1 dhidi ya Mainz Siku ya Mechi ya 23 ya Bundesliga, waliendeleza msururu wao wa kutoshindwa hadi mechi 33 za kustaajabisha katika mashindano yote. Jambo hili la ajabu sasa linawainua juu ya timu ya Bayern Munich ya Hansi Flick ya 2020 na 2021 katika kumbukumbu za historia. Bila shaka, mabingwa hao wa Bundesliga wamedhihirisha ubabe wao usio na mpinzani kwa kupata mbio ndefu zaidi bila kushindwa hata moja na timu ya Ujerumani katika mashindano yote.

View attachment 2963968
Kocha mzuri siku zote huwa anapata ubora wa wachezaji wake haijalishi ameikuta team katika wakat gani
 
Kwamba hata tukikosa kwenda Ueropa league kwake haoni shida kwa kuwa ametukuta hatushiriki😂😂

Huyu mpuuzi hafai kuwepo hapa
 

Attachments

  • IMG_2563.jpeg
    IMG_2563.jpeg
    124.2 KB · Views: 9

Similar Discussions

Back
Top Bottom