Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hahahah leo hamna cha hazard wala indicator mourinho kawekwa kapuni na mbinu zake za hovyo eti anamuweka ramires na. Kumi.



Game haijapewa umuhimu mkubwa dude! We hujaona ata uchezaji Wa timu zote?
 
article-2560045-1B866E8000000578-180_634x431.jpg
 
article-2560045-1B86D01100000578-363_964x386.jpg


Chelsick mnakumba hii kitu ... .... .. ... . .... ...
 
Game haijapewa umuhimu mkubwa dude! We hujaona ata uchezaji Wa timu zote?

hizo sababu za mfa maji mkuu wachezaji wanapewa yellow card unasema game haijapewa umuhimu wasingekaba basi,moou amechezesha majembe yake yote unasema game haina umuhimu?? Hahahah hicho ni kifo cha mfa maji.....
 
Leo ntalala UNONO manake huyu Mnyamavi morinyo angechonga sana media za kesho....
 
hizo sababu za mfa maji mkuu wachezaji wanapewa yellow card unasema game haijapewa umuhimu wasingekaba basi,moou amechezesha majembe yake yote unasema game haina umuhimu?? Hahahah hicho ni kifo cha mfa maji.....



Si kwamba ni sababu tu. Hayo hujayaona Leo?

Game haijawa Nzuri na kuvutia kwa timu zote!
 
Mourinho: 'My team didn't fail, but City played much better than us and when the best team wins, football is at peace.' #CFC from chelsea twitter acc
 
Si kwamba ni sababu tu. Hayo hujayaona Leo?

Game haijawa Nzuri na kuvutia kwa timu zote!

pole mkuu na usiku mwema,nilichofurahi tu ni kwamba mhindi leo karudisha hela yangu ya kubet aliyonila last week.thats ol na nyie kidogo mtapunguza maneno maneno tchao....
 
Game haijapewa umuhimu mkubwa dude! We hujaona ata uchezaji Wa timu zote?

Maneno ya mkosaji hayo acha mbwembwe ingekuwa haijapewa umuhimu Mourinho angepanga wakabaji wote wale akina Matic, Mikel, Ramires.
Mouthrinho aliingia na target ya kutafuta sare but kaangukia pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom