Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

halafu ujerumani ya sasa haina wale watu wa roho ya paka au wale wanaokufa na tai shingoni kama effenberg au lothar matheus. Watoto wengi sahv wa kijeruman ni wahamiaji yani hawana ile DNA ya kijeruman kuwa na uchungu na nchi.

Yap Mkuu! Ni kweli Wajerumani hawana watu Wa Roho ya paka kabisa siku Hizi!
 
Na pia kuna kazi nzuri iliwahi kufanywa na kiungo mkabaji Wa taifa la Uholanzi Miaka ya 90 mwishoni na 2000 Mwanzoni ktk World cup na Euro!

Edger Davis

Bila Shaka wengi wanaikumbuka kz nzuri ya Huyu Mkata Umeme lkn bado Makelele yuko juu!

huyu davids alikua anapiga sana kiatu halafu hajali. Nakumbuka 98 wordcup ktk 16 bora game kati ya uholanzi na yugoslavia alikua anamwomba hidink ambadilishe yani amtoe alikua anasikia miguu inamuuma hidink akamwambia jikaze mwanaume endelea na kweli ktk dk za majeruhi jamaa akafumua guruneti likajaa wavuni na game kwisha 2-1.
 
huyu davids alikua anapiga sana kiatu halafu hajali. Nakumbuka 98 wordcup ktk 16 bora game kati ya uholanzi na yugoslavia alikua anamwomba hidink ambadilishe yani amtoe alikua anasikia miguu inamuuma hidink akamwambia jikaze mwanaume endelea na kweli ktk dk za majeruhi jamaa akafumua guruneti likajaa wavuni na game kwisha 2-1.

Mwanangu Naikumbuka vzr sn hiyo game! Huyu jamaa alikua mzuri sn ana nguvu sn! Na kuna Kipindi Italy ilibidi wampime waone Km anatumia madawa ya kuongeza nguvu! Ila ni moja ya viungo mahili sn wakabaji na wanaoijua kz!

Kwa vizazi hivi Mkuu, tunaweza pata viungo mahiri wakabaji Km,
Makelele?
Gatuso?
Emerson?
Davids?
Viera?
Roy Kean?
 
CHELSEA FC ilichukua kombe la UCL 2012,
Nini siri ya mafanikio? Drogba alisaidia sana, yeye pamoja na wengine:
Lakini kuna watu 3 muhimu sana pale katikati ya uwanja waliosaidia sana:

Raul Meireles #16, jamaa anajua sana kutibua mbinu za wapinzani. mfano: Nusu fainali vs Barcelona CF.
Frank Lampard "super Frankie" huyu hajui kupiga chenga kama Hazard, wala hana mbio kama Willian, ila Frank anajua kutoa pasi zenye macho na kupiga mipira mirefu, kuipandisha timu mbele. pasi yake kwenye nusu fainali Camp Nou ilimfikia Ramires, na goli la Ramires likabadili mchezo kabisa.

John Obi Mikel mchezaji bora #2 wa Afrika.
Pia mchezaji bora #2 kwenye kombe la Dunia la Vijana mwaka 2005.(namba 1 alikuwa Messi.)

Sifa ya Mikel tangu aje Chelsea ni uwezo wake wa kunyang'anya maadui mipira, ni vigumu kumnyang'anya mpira Mikel, kucheza faulo za kitaalamu, tangu Mikel aje Chelsea 2007 amefundishwa na makocha wafuatao:
Jose Mourinho, Avram Grant, Scolari, Guus Hiddink, Carlo Ancelotti, AVB, Di Matteo, Rafa Benitez, Jose Mourinho: lakini hakuna hata kocha 1 amewahi kudharau kazi ya John Obi Mikel; ingawa mashabiki wengi "hawamkubali sana" lakini jamaa amekuwa muhimu sana miaka yote hiyo. Hata gemu ya fainali vs Bayern Munich alicheza dakika zote 120.

Man Utd wanayumba kwa sababu Michael Carrick amevurugika. Tafuteni mtu anayejua kucheza Defensive Midfielder vizuri mtavuna matunda; hao kina Mata, Pogba na wenzake hawataweza kuwanusuru; pia pigeni chini kocha;

NAOMBA KUWASILISHA:
CC; Ntuzu, Mentor, Rockcity native, Siziga, Nzi, Mbu, Dully jr, etc

Mkuu unachokisema ni kweli! Na Jose siku zote hujenga timu Yake kwa viungo wakabaji mahili!
 
Mkuu unachokisema ni kweli! Na Jose siku zote hujenga timu Yake kwa viungo wakabaji mahili!

kuna kipindi falsafa ya mkata umeme ilikua inazingatia rangi. Kama si mweusi ulikua huwez kuncovince coach kama unaweza kata umeme. Ukiwa mweupe basi uwe mti mkavu kama philip cocu,daren fletcher,datman haman
 
Mwanangu Naikumbuka vzr sn hiyo game! Huyu jamaa alikua mzuri sn ana nguvu sn! Na kuna Kipindi Italy ilibidi wampime waone Km anatumia madawa ya kuongeza nguvu! Ila ni moja ya viungo mahili sn wakabaji na wanaoijua kz!

Kwa vizazi hivi Mkuu, tunaweza pata viungo mahiri wakabaji Km,
Makelele?
Gatuso?
Emerson?
Davids?
Viera?
Roy Kean?

ila kulikua na mtu kama didier deschamp
 
kuna kipindi falsafa ya mkata umeme ilikua inazingatia rangi. Kama si mweusi ulikua huwez kuncovince coach kama unaweza kata umeme. Ukiwa mweupe basi uwe mti mkavu kama philip cocu,daren fletcher,datman haman

Mwanangu iyo misemo yako yanifurahisha sn!

Ni kweli Mkuu! Naikumbuka vizuri kazi ya mti Mkavu Philip Cocu, Fletcher, na huyo Hamn! Hawa jamaa ni noma!

Ata juzi game ya Chelsea na Man Utd Mourinho alivyoona mti Mkavu Fletcher haujapangwa alipumua!
 
Michael Essien huenda akakamilisha usajili ktk timu ya Ac Milan.
 
Mwanangu Naikumbuka vzr sn hiyo game! Huyu jamaa alikua mzuri sn ana nguvu sn! Na kuna Kipindi Italy ilibidi wampime waone Km anatumia madawa ya kuongeza nguvu! Ila ni moja ya viungo mahili sn wakabaji na wanaoijua kz!

Kwa vizazi hivi Mkuu, tunaweza pata viungo mahiri wakabaji Km,
Makelele?
Gatuso?
Emerson?
Davids?
Viera?
Roy Kean?

brazil wana bahati sana ya hawa watu wa kazi aiseh!Emerson,Silva Gilbeto n.k
kwa upande mwingine Mascherano nae alikuwa anakuja vizuri sana tatizo wanamuharibu barca!
Pia kuna hii chipukizi ya Newcstle Cheik Tiote na Wanyama hawa jamaa wakiwezeshwa wanaweza
 
Mwanangu iyo misemo yako yanifurahisha sn!

Ni kweli Mkuu! Naikumbuka vizuri kazi ya mti Mkavu Philip Cocu, Fletcher, na huyo Hamn! Hawa jamaa ni noma!

Ata juzi game ya Chelsea na Man Utd Mourinho alivyoona mti Mkavu Fletcher haujapangwa alipumua!

Hata Mou mwenyewe kwenye after match interview alipohojiwa alikiri kuwa walipanga kikosi around Fletcher. He was so relieved alipoona hakupangwa.
 
brazil wana bahati sana ya hawa watu wa kazi aiseh!Emerson,Silva Gilbeto n.k
kwa upande mwingine Mascherano nae alikuwa anakuja vizuri sana tatizo wanamuharibu barca!
Pia kuna hii chipukizi ya Newcstle Cheik Tiote na Wanyama hawa jamaa wakiwezeshwa wanaweza


Nikweli Mwana Barc wanamuharibu Mascherano! Tiote na Wanyama wako vizuri ila wanaitaji kuwezeshwa Km ulivyosema!
 
Chelsea are set to confirm the signing of FC Basel
winger Mohamed Salah prior to their FA Cup tie
with Stoke City this afternoon according to the
Daily Star .




Prior -kabla ya game ya leo na stoke(translation)
 
brazil wana bahati sana ya hawa watu wa kazi aiseh!Emerson,Silva Gilbeto n.k
kwa upande mwingine Mascherano nae alikuwa anakuja vizuri sana tatizo wanamuharibu barca!
Pia kuna hii chipukizi ya Newcstle Cheik Tiote na Wanyama hawa jamaa wakiwezeshwa wanaweza

Mascherano naye Mbrazili?ni muargentina bana
 
Nilipotea kwa siku mbili; nimefurahi sana kukuta wadau mnaendelea na mijadala yenye afya na hadhi. Huo ndo ushabiki ambao sisi watu wa JF tunapaswa kuijenga; ushabiki wa kitaalamu. Asanteni majirani zetu; Rockcity native, Katavi, Nakapanya, Dully Jr; pamoja na wenzangu wa Chelsea Mentor, Ntuzu na wengine..
 
Nilipotea kwa siku mbili; nimefurahi sana kukuta wadau mnaendelea na mijadala yenye afya na hadhi. Huo ndo ushabiki ambao sisi watu wa JF tunapaswa kuijenga; ushabiki wa kitaalamu. Asanteni majirani zetu; Rockcity native, Katavi, Nakapanya, Dully Jr; pamoja na wenzangu wa Chelsea Mentor, Ntuzu na wengine..

tuko pamoja wanafamilia ya soka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom