Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

raha tupu leo...na kombe hawaipati tena this year
 
naomchezo wa kutegemea mchezaji mmoja kwenye timu ndio unaonesha hapa ubovu wa ferguson.pengo wa ronaldo mkubwa sana au na vidic?
 
Kalou anaingia kuchukua nafasi ya Anelka.

Afadhali... Anelka alikuwa kachemsha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom