ni kweli lakini ni mchezo katili sana..sitasahau maisha yangu yote maumivu niliyopata siku chelsea imetolewa kwenye UEFA champions league na baca
Teh teh teh
Nshaanza kupata moyo kuwa ushindi ni wetu tena tunawabamiza 2 - 1
Aisee umenichekesha sana na kunikumbusha nilikuwa vijijini na bosi wangu, nikashangilia goli... asubuhi aliniacha akarudi Dar aisee
But that is what makes sports special, wakati wewe unaumia, sie tulikuwa tunanywea konyagi ushindi
teh teh ..we acha tu yaani haya mambo ya mpira mi nilikuwa kama mgonjwa for 2 days.
Wapenzi wa Chelsea sijamwelewa Carlo Anceloti, Ballack for Mikel...this is a joke
Duh,dakika ya ngapi jamani...at least kesho ntaongea maana man u wana mdomo sana.
Duh,
Man U wanabadilisha wachezaji 4 kwa mpigo!
Ni dakika ya 76 inaelekea
jifunzeni fairplay wakubwa nyie lool