Wakati wa Lampard alikuwa nacheza vizuri na kuna mechi kama mbili alishakuwa MOTM
Amekuja TT hapatani naye kabisa, nasikia Todd Boehly alitaka kukataa uuzwaji wake lakini TT akakubali. Billy kalazimisha kutoka kwa sababu damu yake na TT haziendani kabisa na hii ilionekana tangu preseason kule USA
TT ni ready made coach, anaweza kuwanunua wachezaji waliopikwa kwingine hata kama hawajaiva vizuri na kuwaacha wacheza waliopikwa vizuri na academy ya Chelsea pengine hata na kuwazidi wale wa nje
Uzuri mmoja huuu usajili uliofanyika wa pesa nyingi ndio utakaomuondoa darajani asipofanya vizuri