Kwa hiyo imekuuma kuona atakula pension kama Maguire?Koulibaly anakuja kula pension
Kwa hiyo imekuuma kuona atakula pension kama Maguire?Koulibaly anakuja kula pension
Na ndio maana Chelsea wameachana na usajili wa Kounde na Matthijs De Light, too much price tag, akija unampa mkataba wa miaka mitano, akiflop imekula kwakoWatu wanasahau Koulibaly ni short term plan sajili kamili ya beki inafanyika wakati ambao ligi zimeanza. Sasa hivi unaweza pigwa na kitu kizito
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini wote hao wanatumia left footed hii imekaaje?Nasikia Chelsea wakimalizana na Ake na Koulibaly bado watamtaka mwingine wa tatu na nafikiri atakuwa Kimpembe (euro mil 50)
Huyo ni Mwamba Sana Moja Kati ya Top defenders duniani tukimsajili huyu mtu automatically tutakuwa tumeziba pengo la RudigerChelsea watamlipa Koulibaly Euro 190,000/wiki au Paundi 160,000/wiki
Tayari Koulibally kakubali posa hiyo
Kwanini wote hao wanatumia left footed hii imekaaje?
kama Thiago anavyokula pension?Koulibaly anakuja kula pension
Silva mlimsema babu hvyohvyo lkn n beki Bora kuliko vijana wenu matakatakaHawa beki zenu zitakuwa majibabu tu

Angepewa offer ya miaka mi4 na offer ya kuextend mwaka mmojaWatu wanasahau Koulibaly ni short term plan sajili kamili ya beki inafanyika wakati ambao ligi zimeanza. Sasa hivi unaweza pigwa na kitu kizito
Sent using Jamii Forums mobile app
* nasikia amepewaAngepewa offer ya miaka mi4 na offer ya kuextend mwaka mmoja
Mkataba wake ni miaka mitanoAngepewa offer ya miaka mi4 na offer ya kuextend mwaka mmoja
TT ni kocha mzuri ila linapokuja suala la kuchagua wachezaji naona anapwaya sana na pengo la DOF linaonekana katika dirisha hili la usajili ni kama hatukujiandaa kusajili.pili scouts kama vile ipo usingizini tuna muda mrefu bila kuleta wachezaji wasioibwa sana ila wanapotential ya kuwa wachezaji wazuri. Anatakiwa apatikane DOF wenye ushawishi na vision kubwa otherwise tutajikuta kwenye situation kama ya Barcelona financiallyHuu usajili wa Kalidou Koulibaly ni kama utakamilika muda si mrefu na bila shaka atakuwa mchezaji wa Chelsea kuanzia msimu huu. Binafsi sikuwahi kumfuatulia ki undani zaidi ili kujua ubora wake, nimekuwa nikisia tu kwa watu kuwa ni beki mzuri.
Kama ningekuwa kwenye jopo la usajili basi ningefanya juu chini tukamsajili Lisandro Martinez badala ya Koulibaly. Lisandro anacheza katika klabu ya Ajax ni bonge la beki na anacheza zaidi ya nafasi 3 uwanjani. Nimesikia pia huyu beki tunamtaka, nitafarijika sana endapo tukimpata. Klabu ya NYUMBU na AseNANE nao pia wanamtaka.
Angepewa offer ya miaka mi4 na offer ya kuextend mwaka mmoja
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Kalidou Koulibaly has reached an agreement with Chelsea over personal terms. 

Unapotaja top 3 best defenders duniani kwa sasa hiv jina la koulibaly haliwezi kukosekana Huyu jamaa amekuwa na consistency performance na uzoefu mkubwa Sana, pia kumbuka ni leadership material ni captain wa Napoli, ana tumia miguu yote, ana matumizi ya akili na nguvu ni beki kisiki kweli kweli ebu tutajie sifa za huyo beki wako kulinganisha na koulibalyHuu usajili wa Kalidou Koulibaly ni kama utakamilika muda si mrefu na bila shaka atakuwa mchezaji wa Chelsea kuanzia msimu huu. Binafsi sikuwahi kumfuatulia ki undani zaidi ili kujua ubora wake, nimekuwa nikisia tu kwa watu kuwa ni beki mzuri.
Kama ningekuwa kwenye jopo la usajili basi ningefanya juu chini tukamsajili Lisandro Martinez badala ya Koulibaly. Lisandro anacheza katika klabu ya Ajax ni bonge la beki na anacheza zaidi ya nafasi 3 uwanjani. Nimesikia pia huyu beki tunamtaka, nitafarijika sana endapo tukimpata. Klabu ya NYUMBU na AseNANE nao pia wanamtaka.
Umemjibu vizuri sana, akikujibu unitagkama Thiago anavyokula pension?
Michael Edwards ndie anafaaTT ni kocha mzuri ila linapokuja suala la kuchagua wachezaji naona anapwaya sana na pengo la DOF linaonekana katika dirisha hili la usajili ni kama hatukujiandaa kusajili.pili scouts kama vile ipo usingizini tuna muda mrefu bila kuleta wachezaji wasioibwa sana ila wanapotential ya kuwa wachezaji wazuri. Anatakiwa apatikane DOF wenye ushawishi na vision kubwa otherwise tutajikuta kwenye situation kama ya Barcelona financially