ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,063
Kachezewa rafu na James alyepewa red card
Aisee
Kachezewa rafu na James alyepewa red card
Awa watu wametumwa na Liverpool fansMkuu nilikuw mbali kidogo nini kimempata cova adi kitolewa?
Jambo Lenu n kumuumiza kovacic sioLeeds United tuna jambo letu leo
Kesho son ana brace za chinichini kabisa nakupa hyoMkae kwa kutulia Leeds wanakuja na comeback
Chelsea top 4 ni given binafsi hapo nataka nafasi ya 3Watakaoinyima Chelsea top 4 ni Spurs wakishinda kesho
Wakitoa droo au wakafungwa na Arsenal basi Chelsea automatically in top 4
Daah huo mguu haujavunjika kweli, mana umekunjika kabisaAwa watu wametumwa na Liverpool fansView attachment 2221067
Mount ndo anatabia za uchoyoNimeipenda pass ya Ziyech kwa Lukaku nilizani atapiga yeyemwenyewe kama michezi Mingi ilivyowachoyo lakini anafanya maamuzi sahihi I like it ndio inavyotakiwa Lukaku Unaweza kukuta kakaa kwenye position nzuri lakini michezaji unasubiri akabwe ndio itoe pass sipendi hiki kitu aisee
Point 1 kati ya pointi 6 😂😂 bc tutoe draw zote tuuPOINT 1 TUFUZU CHAMPION LEAGUE
Ila Lukaku bado mzigo sasa ile pasi ni ya kutuliza kweli?Nimeipenda pass ya Ziyech kwa Lukaku nilizani atapiga yeyemwenyewe kama michezi Mingi ilivyowachoyo lakini anafanya maamuzi sahihi I like it ndio inavyotakiwa Lukaku Unaweza kukuta kakaa kwenye position nzuri lakini michezaji unasubiri akabwe ndio itoe pass sipendi hiki kitu aisee
Usisahau bakayoko hapo[emoji23][emoji23][emoji23]Chelsea ina kismati na ligi ya ufaransa kwanini tusielekeze nguvu huko?
Drogba from Marseile
Hazard from lile
Willian from Lile
Mendy from Rene
Silva from PSG
Petr Cech from Rene
Michael Essien from Lyon
Huyo ndio kinara wao wauchoyoMount ndo anatabia za uchoyo
We ulitaka afanyajeIla Lukaku bado mzigo sasa ile pasi ni ya kutuliza kweli?
Katika game mbili hizi lukaku amekuwa bora kuanzia kulink up na wenzak hata ile fluidity yetu kwenye kushambulia inaana onekana, shida tu inakuwa kule mbele kuna kauchoyo kabaadh ya wachezaj kutaka kufunga wao, kuna mda lukaku unakuta yuko amefungua ila kuna wachezaj wanataka wafunge waoNimeipenda pass ya Ziyech kwa Lukaku nilizani atapiga yeyemwenyewe kama michezi Mingi ilivyowachoyo lakini anafanya maamuzi sahihi I like it ndio inavyotakiwa Lukaku Unaweza kukuta kakaa kwenye position nzuri lakini michezaji unasubiri akabwe ndio itoe pass sipendi hiki kitu aisee
Kama leo ile ya Pulisic alikuwa kwenye nafasi nzuri ya kumpa pass Lukaku akataka afunge yeye moira ukatokaKatika game mbili hizi lukaku amekuwa bora kuanzia kulink up na wenzak hata ile fluidity yetu kwenye kushambulia inaana onekana, shida tu inakuwa kule mbele kuna kauchoyo kabaadh ya wachezaj kutaka kufunga wao, kuna mda lukaku unakuta yuko amefungua ila kuna wachezaj wanataka wafunge wao
Mimi nazungumzia London derby ya kesho namba 3 tutaipata mechi ya 37 au ya 38Chelsea top 4 ni given binafsi hapo nataka nafasi ya 3
Tupe matokeo ya hizo mechi alizolambishwa nyasi kama wewe ulivyopigwa 3 nusu fainaliOyaaa nipigieni huyo liverpool,kashakata upepo team kama Newcastle, astonvilla zinamlambisha nyasi ,sembuse the blues...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]