Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mmiliki mwingine akipatikana wadhamin watakuja tu.

We unajiondoa mwenzako anaingia
Ishakuwa Timu ya serikali hiyo babu, subiri upewe ruzuku ya usajili. Matatizo ya kumilikiwa na individual owner, ingekuwa Group yasingewakuta leo, na mbaya zaidi owner ni mafia so lilikuwa suala la muda.
 
Aiseeee next time Trivago awe Main sponsor hivi ni mimi tu peke yangu ndio huws naziona zile kit za mazoezi zenye nembo ya Trivago kama ni kali sana?

View attachment 2147525
Trivago ni taasisi ya online business, sio kama wana pesa kivile kiasi cha kuwa main sponsor, ni broker wa kuuza safari, mahoteli na products zingine za internet kama tupatane.com
 
Ishakuwa Timu ya serikali hiyo babu, subiri upewe ruzuku ya usajili. Matatizo ya kumilikiwa na individual owner, ingekuwa Group yasingewakuta leo, na mbaya zaidi owner ni mafia so lilikuwa suala la muda.
Hakuna ruzuku ya usajili, kama kila kitu kikienda sawa, tunamaliza msim tukiwa na mmiliki mpya
 
Naona cheltako mmepata nali hashtag saizi.
20220312_092240.jpg
 
Cha muhimu kwa sasa, serikali ya UK iuze timu haraka, tupate mmiliki mpya watuondolee hivyo vikwazo.

Swali ambalo najiuliza kwa kuwa serikali imechukua jukumu la kuuza timu je wanatumia vigezo gani kumchagua mtu sahihi wa kumuuzia?

Au wanaiuza shangalabangala ili mradi iuzwe?
Hapo ndipo penye wasiwasi. wanaweza wakatuletea boghast wa kusubiri mshiko tu hata kama ni mdogo kama wa Norwich
 

Good news - Uongozi wa Chelsea ulishtuka mapema na kwa hiyo ticket zote za ndege kwa msimu mzima zimeshalipwa. Nadhani kwenye UCL ndio itabaki na giza ila natumaini ticket ya kwenda Lile imeshalipwa pia

'I've had a message': Sky journalist shares what Chelsea player's agent has told him after Abramovich sanctioned​

Kaveh Solhekol claims Chelsea have already paid well in advance for all travel for the rest of the season.
 
Jurgen Klopp on Chelsea and Abramovich sanctions

He says football as a whole should "think more about where the money is coming from" following the sanctions for Chelsea owner Roman Abramovich.

"I don’t think it is really fair to ask me," Klopp said. "You are much longer in this country. Did you care really?

"Did anyone really care when Roman Abramovich came to Chelsea?

"Did anyone really care when Newcastle got taken over? Do supporters really care?

"It is a question. It is pretty obvious where the money is coming from. Everyone knew it, but we accepted it.

"That’s our fault. It is society’s fault so we accepted it. Now we cannot accept it anymore and so we punish them, it is not Chelsea’s fault. Not at all.

Na mimi naongeza
  • Hao waingereza walijali kweli kama waliochukua City wale Waarabu wa Abu dhabi Sheikh Mansour mwanasiasa kama anatumia pesa chafu?
  • Hao waingereza walijali kweli kama aliyechukua Everton, muiran yule Moshiri anatumia pesa chafu za chuma na madini kule Urusi?
 
Atakae pata mda apitie hii article inayomuhusu Toddy Boehly

Can Todd Boehly be Chelsea's saviour? A big piece on him:
  • Breaking records in sports ownership
  • Investment in women's sport
  • Prioritising winning
  • Waiting for his second chance to buy #cfc


 

Similar Discussions

Back
Top Bottom