Channel 5 ... ..... OMG! Khe khe khe
khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Oops! How can Benayoun miss that?!!!!!!!!!
tores ana mikosi. kakosa penati. kamuuza kipa lakini mpira umegonga mwamba wa juu!. du!. mia
Chelsea kaliza mutu 3-1, na haka kakombe tunachukua then tunakuja kukutana na Real Madridi kwenye super cup na lenyewe tunachukua kama kawa na nitakuwa kombe la tatu msimu baada ya FA ambayo tunaanza manchester united next week tunaua vibaya baadae Man City chinjwa mbaya...Ukiwa mshabiki wa Chelsea halafu huna KITAMBI basi wewe una magonjwa mengi sana. The Blueeeeeeeeeeeeeeeeeeeeezzzzzzzzzzzzzzzzzzz ooooooyyyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!
Be careful mate, kitambi ugonjwa pia.
mi nafurahia ushindi wa chelsea...ili wawe na migemu mingi ya kucheza ili waishiwe na nguvu easter monday tuwape kichapo na pia spurs na arsenal wachukue nafasi za nne wao wasicheze champions league next season :happy:
Finally mmeanza kumkubaliaThank you Fat chef Spanish Benitez....Chelsea are cruising