Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Safi sana Chelsea!! ila mshukuru leo Howard Webb hakuwa kwenye kiwango chake!! Yaani kacheza sana chini ya kiwango mngepigwa mvua ya mabao leo!!
 
Mwaka wa hasara huu, ni baada ya miaka mingi timu za Uingereza kukosekana kwenye robo fainali ya CL. Hispania wameingiza timu tatu, Madrid, Barca na Malaga. Wawakilishi pekee vibonde Arsenal jana wametoka kamasi bure. Kila la heri leo chelsea hapo darajani funga hao Steaua Bucharest
 
Mie hata sielewi hilo "joka la kibisa" ambalo haling'ati wana ling'ang'ania la nini. au katika contract yake lazima acheze???? linakimbia tu na kuchefua.

Huyu fundi saa kwanini hapendi kumuweka Ba amalize mchezo???!!!!
 
Dah! Mungu nisamehe...joka la kibisa limesikia na kufunga gori muhimu.
 
leo kweli balaa!. yaani hadi tores anafunga!. Mungu atusaidie tupite huu mtihani!. mia
 
Torres kanyimwa penalty! Kapigwa kiatu mpaka damu lakini wapi, refa kapeta!!!!!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom