Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea is now owned by Boris Johnson[emoji23][emoji1787][emoji28]. Kwisha Habari yenu rent boyz
Tatizo ambayo Chelsea inapitia timu zote zinapitia hasa zile zilzionunuliwa na matajiri kutoka mrengo wa kushoto na sisa za kimagharibi
 
Mimi Liverpool lakini nimepitia hapa kutoa pole na hasira juu ya hawa wanasioasa kutuingiza ligi yetu katika mambo yaliyowashinda kama kweli wanauchungu wangeingia vitani sio kudhulumu mali za watu kuturejesha miaka ya wa comunist kutaifisha mali za watu na wao ndio kwanza walikuwa mbele kupinga. Waingereza ni wanafiki wa kiwango cha lami fitna dunia nzima mbwa hawa. Mambo ya siasa ya nini kutuletea kwenye starehe zetu. Kwani alinunua chelsea jana? miaka 19 hawakujiuliza pesa katoa wapi. washenzi wakubwa hawa. Poleni wana Chelsea na hili litapita tu. Mpenzi wa EPL na Liverpool
 
1646923354380.png
 
Mimi Liverpool lakini nimepitia hapa kutoa pole na hasira juu ya hawa wanasioasa kutuingiza ligi yetu katika mambo yaliyowashinda kama kweli wanauchungu wangeingia vitani sio kudhulumu mali za watu kuturejesha miaka ya wa comunist kutaifisha mali za watu na wao ndio kwanza walikuwa mbele kupinga. Waingereza ni wanafiki wa kiwango cha lami fitna dunia nzima mbwa hawa. Mambo ya siasa ya nini kutuletea kwenye starehe zetu. Kwani alinunua chelsea jana? miaka 19 hawakujiuliza pesa katoa wapi. washenzi wakubwa hawa. Poleni wana Chelsea na hili litapita tu. Mpenzi wa EPL na Liverpool
Yaani umesema kweli tupu, na amshabiki wa timu zingine waliangalie hili kisomi zaidi, jambo wanalofanya Uingereza inaweza ikaikumba Liver pia, Simba akishakula nyama ya mtu haachi kula na siku nyingine. Pesa za kudhulumu mbaya sana. Hao waarabu sasa nao zamu yao, next utasikia Man city inauzwa, Newcastle wataiuza. Timu zote za EPL zimilikiwe na waingereza na mashoga wao Marekani
 
Chelsea Football Club official statement [emoji838] #CFC

"Chelsea intend to engage in discussions with the UK Government regarding the scope of the licence. This will include seeking permission for the licence to be amended in order to allow the Club to operate as normal as possible".

 
But the BBC understands the government would consider allowing Mr Abramovich to apply for a special licence to sell the club, providing he can prove he would not benefit from the sale.
 
mashabiki wa liverpool wao ndo wanaona ndo mashabiki halisi wa mpira kila mtu lazima awe liverpool au arsenal na unakuta mtu msomi kabisa anashindwa kufikiria kuna watu wamezaliwa 90 s kuendelea wamekuja kupenda mpira chelsea ikiwa inafanya vizuri
Kuna watu akili zao zimefubaa, wanasahau kila siku watu wanazaliwa na kila siku mtu anapata interest juu ya kitu fulan kwa sababu moja au nyingine.
 

Chelsea reassurances​

While the sanctions against him throw Chelsea's future in doubt, ministers sought to reassure the club it would not be "unnecessarily harmed".
In a tweet, Culture Secretary Nadine Dorries said holding those who have "enabled the Putin regime to account" was the priority.

"I know this brings some uncertainty, but the government will work with the league and clubs to keep football being played while ensuring sanctions hit those intended," she wrote.
 
Bado naamini Chelsea itaangukia mikononi salama, hakuna mpumbavu duniani atakayeharibu mafanikio iliyofikiwa na Chelsea. Na hakuna serikali pumbavu duniani itakayoharibu vyanzo vya mapato. Mpira ni chanzo cha mapato UK, wawekezaji wa micheza wakiona UK gov imecheza rafu inaweza ikaharibu uwekezaji mkubwa na mpana zaidi. So let be faithfull kwamba UK Gov wataitendea haki Chelsea iendelee kuwa stable na strong. Hizo restrictions zilziowekwa ni kwa wakati huu wa mpito tu ikiisha hapo, maisha yatarudi normal
 
Shabiki mmoja wa Chelsea kutoka Jersey UK anasema

"Whatever happens, if you’re a Chelsea fan, you’ll stick with them thick and thin," said Simon from Jersey.

"There are other [oligarchs] out there just as bad as him, if not worse. He’s just a nice guy for me, he’s done such a great deal for the club."
 
WATAWAUA AISEEE

Chelsea sponsors Three TERMINATE £120m shirt deal just hours before Norwich clash forcing urgent kit change
 
wadhamini nao wamesimama kudhamin chelsea
Chelsea shirt sponsor Three has requested to temporarily suspended its deal with the club after the UK government froze Roman Abramovich's assets
 
Shabiki mmoja wa Chelsea kutoka Jersey UK anasema

"Whatever happens, if you’re a Chelsea fan, you’ll stick with them thick and thin," said Simon from Jersey.

"There are other [oligarchs] out there just as bad as him, if not worse. He’s just a nice guy for me, he’s done such a great deal for the club."
Na mtaongea viingereza mno [emoji2]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom