Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nasubili siku Chelsea itakabobadilishwa jina kuwa "kongolo FC "...

Watu Wana dharau aise[emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

itakuwa huyo tajiri alikunywa supu ya kongolo sio bure kabisa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji22][emoji22][emoji22]
Huyo mbwiga anatafta popularity
 
SAD NEWS TO CHELSEA FC


Hatimae Chelsea haiuzwi tena, Serikali ya U.K imemuorodhesha Boss wa chelsea kwenye orodha ya matajiri/makampuni yaliyoshikiliwa dhamana zake. Lakini shughuli kadhaa za kimichezo zitaendelea ndani ya club ingawa boss imekula kwake tayari.
 
SAD NEWS TO CHELSEA FC


Hatimae Chelsea haiuzwi tena, Serikali ya U.K imemuorodhesha Boss wa chelsea kwenye orodha ya matajiri/makampuni yaliyoshikiliwa dhamana zake. Lakini shughuli kadhaa za kimichezo zitaendelea ndani ya club ingawa boss imekula kwake tayari.
Serikali ya UK itahakikisha tu wafanyakazi wanalipwa basi
Shughuli zingine zimesimama hata kuuza tickets hairuhusiwi labda kwa wale waliokata mapema tickets za msimu mzima..
 
Vikwazo vya kiuchumi alivyowekewa boss wa Chelsea hakika si ajabu baada ya msimu mmoja ujao mbele tukashuka daraja endapo hali itabaki hivi. Wachezaji wote wanaoelekea kumaliza mikataba yao hawataongeza mikataba yao tena wataondoka kama wachezaji huru
 
Serikali ya UK itahakikisha tu wafanyakazi wanalipwa basi
Shughuli zingine zimesimama hata kuuza tickets hairuhusiwi labda kwa wale waliokata mapema tickets za msimu mzima..
Hapa maisha yamefika ukomo ya kufanya vizuri kwenye michuano ya Ulaya na ndani ya Ligi kuu Uingereza kwa kipindi hiki cha mpito
 
apa chelsea imekula kwetu msimu ujao utakuwa mchungu hakuna kusaji wala kuongeza mikataba
 
Dah kongolo fc kwisha habari yenu.[emoji16][emoji16]
Screenshot_20220310-131245.jpg
 
The problems Chelsea will face because of Abramovich's sanctions:

❌ No more ticket sales
❌ No more merchandise sales
❌ No new contract extensions
❌ No new transfers in or out

✅ Salaries will be paid
✅ Season tickets still valid as already sold
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom