Yule Mturuki wamekubaliana Paund2.8 milioni, bado paper work ndo unaendelea Hadi muda huu.Huyo mmiliki mpya ndio yupi? Ebu tuambie
Yule Mturuki wamekubaliana Paund2.8 milioni, bado paper work ndo unaendelea Hadi muda huu.Huyo mmiliki mpya ndio yupi? Ebu tuambie
Si mchezaji wetu tuliompeleka southampton kwa mkopo lazima arudiBroja anarudi kwani?
Deadline ya kupokea bids ni 15 march sasa sijui hizo habar za kukjbaliana umezitoa wapi???Yule Mturuki wamekubaliana Paund2.8 milioni, bado paper work ndo unaendelea Hadi muda huu.
Hazard alitoka Lille. Kazi yake tuliona. Huyo jamaa aje haraka sana iwezekanavyo.Tetesi;Chelsea kumsajili winger wa lile sanchez yule rasta jamaa anajua aise
Anaitwa Renato Sanchez ni mchezaji mzuri ila hatufai Chelsea hana tofauti na Adama Traore anakimbia sana ila end results 1 out of 10. Alishacheza Bayern na hata PL alishacheza lakini perfomance yake ni ya kawaida sana.Tetesi;Chelsea kumsajili winger wa lile sanchez yule rasta jamaa anajua aise
Alafu yule sio winga kama wanavyosema ni kiungo kiukweli naungana na wewe yule sio mchezaji wakumuweka benchi Kovacic au Kante wala Jorginho ni squad player addition si Bora tumchukue Ruben nerve wa wolves ambaye ana add something special ambacho viungo wetu tulionao hawana ambacho ni kupiga long ball passAnaitwa Renato Sanchez ni mchezaji mzuri ila hatufai Chelsea hana tofauti na Adama Traore anakimbia sana ila end results 1 out of 10. Alishacheza Bayern na hata PL alishacheza lakini perfomance yake ni ya kawaida sana.
Ousmane Dembele aliye majeruhi ni bora kuliko Sanchez squad player.
Kumbuka pia tunayeAlafu yule sio winga kama wanavyosema ni kiungo kiukweli naungana na wewe yule sio mchezaji wakumuweka benchi Kovacic au Kante wala Jorginho ni squad player addition si Bora tumchukue Ruben nerve wa wolves ambaye ana add something special ambacho viungo wetu tulionao hawana ambacho ni kupiga long ball pass
Habari nzuri Sana hii utashangaa hapo Alonso atakichafua ile mbaya kama alivyofanya game dhidi ya liverpoolAmeanza mazoezi binafsiView attachment 2143740
Tena zaidiHabari nzuri Sana hii utashangaa hapo Alonso atakichafua ile mbaya kama alivyofanya game dhidi ya liverpool
Ila sidhan kama ataejea hiv karibun labda mwez wa 5 naona itakuwa risk sana kumuwahishaHabari nzuri Sana hii utashangaa hapo Alonso atakichafua ile mbaya kama alivyofanya game dhidi ya liverpool
Nani kasema haiuziki,Daaah mbona timu haiuziki?