Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Pulisic, Havertz na Mount hawa vijana wakitulia wakakaa pamoja wana maisha mazuri katika career yao ndani ya Chelsea. So far so good japo wanakosa clear chances
 
So far makombe tuliyobeba ni kwa sababu ya mabeki, waendelee kutubeba hadi tutakapopata washambuliaji makini na wakatili golini. Magoli tuliyokosa leo ni ushahidi tosha kuwa tukiwategemea hawa waliopo tutabakia kugombea top 4 na makombe yasiyo ya ligi ndefu
 
Second half wanahitaji kuwa clinical zaidi kule mbele kwa sababu naona tunatengeneza chances bado tunayo nafasi kufanya vizuri. Japo hii pressing ya Liver si mchezo in a second unaadhibika.

Napenda jinsi tunavyorecover hasa tuki disposses.
 
Mount tena kakosa goli lawazi naona wivu sana
Jumla ya magoli manne tunakosa
 
Nasimama na Liverpool
1644133627275.jpg
 
Mount tena kakosa goli lawazi naona wivu sana
Jumla ya magoli manne tunakosa

Na hizo chances ndizo zilikuwa ushindi wetu. Ssa ushindi unaenda kwa Liverpool.

Na hizo nafasi tutazijutia milele. Tubaki kusema tumecreat chances basi au mlidesarve kuwin na mengine mengi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom