Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Na wewe kweli kweli unaamini watakuwa fooled!! Waingereza. Hata wabongo huwezi kuwafool kihivyo. Roman mwenyewe anajua. Hii case ni sensitive na tusiilinganishe na ushabiki wetu. Waingereza wako inch away kutaifisha mali za Abramovich ikiwemo Chelsea. Maombi yetu iangukie mikononi salama. Uingereza ni rafiki mkubwa wa Ukraine na adui mkubwa wa Urusi, isije kwua walikuwa wanaiosubiri tu hii siku waweze kujustfy utaifishaji wa mali za tycoons wa kirusi ili kuwapunguza nguvu. Vita bado vinaendelea, Urusi wameshaanza vita vya ardhini na wako wanaelekea mji mkuu wa Kyiv. Ukraine inashambuliwa kutokea kila upande. Putin mwenyewe katishia kutumia silaha za neacleaur kwa watakapinga uvamizi wake. Ukijumlisha yote hayo unadhani hasira ya Serikali ya Uingereza inapoa au inaongezeka, unadhani kuwa wanasiasa wataach kuongea au ndi wataishinikiza Serikali kuchukua hatua zaidi. Mimi binafsi simuoni Roman Abramovicha akiokoka kwa hili. Sipendi iwe hivyo ila huu ndio ukweli
Mkuu issue ya kutaifishwa tim sio issue ndogo, halaf Roman ameikopesha chelsea almost 2BLN unahisi ukitaka kutaifisha mali zake vipi huo mkopo wake?

Ndio maana wanaongea hivyo ni hao wanasiasa ila Boris mwenyewe last time ameulizwa akakosa majibu

Unakumbuka issue ya matajir wa newcastle hawa wasaudia, baadhi ya wanasiasa siwalikuwa wanataka premier league izue newcastle kuuza kisa tu matajiri wake walihusika kwenye kifo cha Jamal Khashog
 

Chelsea Supporters’ Trust demand urgent clarification in response to Roman Abramovich statement​

The Chelsea Supporters' Trust have called upon the club to make "urgent clarification" over how the club is set to run for the future.

It comes following Roman Abramovich's shock statement on Saturday evening.
 
Caoimhin Kelleher anadaka leo badala ya Alisson Becker
 
Uraia wa Israel unaweza pia kuwa kinga kwa Roman Abramovich na kwa huo Uraia unaweza kumpa haki kadha wa kadha endapo sanctions kali zitachukuliwa juu yake.

Taarifa zingine zinadai kuwa Uingereza wanaogopa kumpa adhabu kwa kuwa wanajua adhabu yeyote itaiumiza Chelsea yote

Abramovich anaidai Chelsea Paundi Bil 1.5 na adhabu yeyote kwa Bosi itamfanya adai hizo pesa na kuiacha klabu ikiwa kwenye TOTAL BANKRUPTCY
 
How can Chelsea be impacted by sanctions, if imposed?

Under the terms of the sanctions as per UK law, it is illegal for any individual, company or bank in the UK to ‘provide funds or economic resources’ for the benefit of the individual or firm that has been sanctioned. The Times reported that if Abramovich is sanctioned, it will be illegal for fans to buy tickets or for the broadcaster to pay to broadcast Chelsea matches. Chelsea’s debt to Abramovich is over 1.5 billion pounds and finance experts are of the view that the club may go out of business if the government imposes sanctions against Abramovich. The Times also reported that the club is technically owned by private company Fordstam, set up by Abramovich, and it has underwritten the losses of the club.
 
How has Abramovich been linked with Russian President Vladimir Putin?

While the Russian billionaire made his fortune in the oil trade after the dissolution of the Soviet Union. There have been talks in political and sporting circles that he has ties with Putin. Last December, Abramovich won an apology with the settlement of a defamation case over British journalist Catherine Belton’s claims over his ties with the Russian president in her book Putin’s People. It claimed that the Russian billionaire had bought Chelsea under Putin’s instructions. Belton, who is a former Moscow correspondent for The Financial Times, had claimed in the book that Abramovich indulged in a corrupt relationship with Putin and effectively acted as his ‘cashier”.
 

Chelsea Supporters’ Trust demand urgent clarification in response to Roman Abramovich statement​

The Chelsea Supporters' Trust have called upon the club to make "urgent clarification" over how the club is set to run for the future.

It comes following Roman Abramovich's shock statement on Saturday evening.
Naona wanaunyemelea umiliki wakati jamaa amewapa tu maamuzi na siyo umiliki waache uduanzi
 

Roman Abramovich should not be allowed to own Chelsea, MP claims amid Russia-Ukraine escalation​

Roman Abramovich should no longer be allowed to own Chelsea Football Club, a Labour MP has said in parliament amid fresh calls for additional sanctions to be placed on Russian businessmen with assets in the UK.

Speaking under parliamentary privilege after Russia president Vladimir Putin launched a full-scale attack on Ukraine, the MP for Rhondda Chris Bryant said that Abramovich should be “no longer able to own a football club in this country” after reading an excerpt of what he claimed was a leaked 2019 document from the Home Office.

Abramovich has always vehemently denied any suggestion that he has direct links to Putin, has been contacted for comment in relation to Mr Bryant’s allegation.

Reading directly from the document, Bryant said: "‘As part of HMG’s [Her Majesty’s Government’s] Russia strategy aimed at targeting illicit finance and malign activity, Abramovich remains of interest to HMG due to his links to the Russian state and his public association with corrupt activity and practices’.
Atakuwa shabiki wa Manchester au asernal huyo
 
Roman ni mjanja kaipa authority trust kurun club.

That means anaweza akawa ana run club akiwa nje ya direct administration.

Technically we are safe.
 
Sasa nimeelewa zile hadithi za wauza unga wakubwa kujifichia kwenye misaada na mpira. Ni rahisi kupata watetezi
 
1645978230437.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom