Mvina
JF-Expert Member
- Aug 2, 2009
- 997
- 34
Ikawa 1,2,3,4,5,6,7, haikutosha hadi 8!
Ikawa 1,2,3,4,5,6,7, haikutosha hadi 8!
washabiki wengi Chelsea mamluki,walikuwa wanamkataa Benitez kisa katoka Liverpool sasa wanaanza hao,siku zote waspain mtawachukia mwisho mtawapenda wenyewe.
Chuki binafsi tu kwa mamluki wa chelsea.We ndo hujui lolote...karesearch tena kwann chelsea fans hate benitez.
wakulu leo tunakula BICHWA LA EVERTON! be standby after lanchi!
Hodi wenyewe!
Apo ni kumuonesha fellaini y chelsea is the team to be in.
Karibu aya anza kuchonga. Yani wambea leo mmenunajeee? Sikuwa najua ecerton nayo ina mashabiki mpaka kale kambahatisho ka dk2 hahahaha...
We are BLUE men...IamBLUE.
#teamCHELSEA