Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tunacheza vibaya sana, tunapoteza mipira mingi ,
Saul inabidi atoke aingie Jorginho

Kwa watford walivyocheza walistahil kuwambele ni vile tu mendy katuweka mchezon

Upande wa Alonso ndipo watford wanapoputisha mashambulizi yao,
Kwa wingback ya azp n alonso hamna kitu hapa

Nikuomba tu Reec James asipate injury tofauti na hivyo msim wetu utakuwa ushaisha
 
Tunacheza vibaya sana, tunapoteza mipira mingi ,
Saul inabidi atoke aingie Jorginho

Kwa watford walivyocheza walistahil kuwambele ni vile tu mendy katuweka mchezon

Upande wa Alonso ndipo watford wanapoputisha mashambulizi yao,
Kwa wingback ya azp n alonso hamna kitu hapa

Nikuomba tu Reec James asipate injury tofauti na hivyo msim wetu utakuwa ushaisha
Umeongea kweli kabisa na kma TT ili acheze karata zake vzr dgo na callagher January arudi cheki kov na ngola majeruhi je jorg nae akiapa majeruhi tumekwisha
 
Tuchel ana utani sometes, unamchukuaje Saul kwa mkopo halafu unamtoa conor callagher..
 
  1. Saul asipewe tena hata dk 5
  2. Alonso amedowngrade quality ya Chelsea
  3. Silva ni wa muhimu pale nyuma
  4. Cheek ni mchezaji mzuri ila sio kwa katikati labda kule mbele
  5. Ziyech atulie, ana papara sana hasa kwenye kupasi
  6. Tunazidi kuishiwa option kama kweli Chalobah kaumia
  7. Saul 10 = 1 Barkley
 
Yani ukiangalia mwezi huu tuna game 9 zimebaki kwa hali hii ya majeruhi kupata matokeo game zote ni ngumu sana halafu bado January kuna big match 3 kama tukiweza kutoboa hapo basi ubingwa wetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom