papason
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 5,119
- 5,709
tatizo ni yeye na shartah ndio alipigwa goli nyingi babu..
Alooo kweli ni soo!
tatizo ni yeye na shartah ndio alipigwa goli nyingi babu..
Naona Torres sasa anakuja kwa kasi kweli 4 goals in 2 matches
Bado hajanshawishi...
Unafiki wa mashabiki wa Chelsick ... ... .... kama penda pesa ya Romano hata akiamua kuwainamisha inameni tu ... ... .. .. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee niliwaambia akifa na timu inakufa chacha mnalialia nini? You can't buy class .... .... phew!
The darling son Tor the Res bado kuona goli tangu October khe khe khe kheeeeeeeeeeeee
shakhtar ya Ukraine ilimchapa chelsea 2-1 kule donetsk Ukraine,Chelsea akashinda 3-2 kule London,kama mtoano chelsea anatoka kwa away goal,ni waukraine hawa sio waturuki,kina aghahowa,wagner love na eduardo aliekuwa aseno wote wamepita shakhtar donetsk mabingwa wa europa cup 2009 kombe analoenda kucheza chelsea na kina liverpool,spurs kila alhamisiJamani ehee Msaada Kwenye tuta! Imekuaje chelsea kutolewa Kwenye makundi wakti Ina wastan mzuri wa mabao ya kufunga/kufungwa kuliko ya waturuki shakhtar?
Aliambiwa atafanya mazoezi na kikosi cha vijana
Naona Torres sasa anakuja kwa kasi kweli 4 goals in 2 matches
mtotowamjini Belo BelindaJacob Wacha 1 Viper mko wapi jamani. Au kisa tulishinda juzi. Au mnajifanya lile sio kombe??!