tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 22,758
- 31,123
Maajabu ya man u utakuta nampiga Chelsea 2United apigwe tatu tu za uso zinamtosha
Maajabu ya man u utakuta nampiga Chelsea 2United apigwe tatu tu za uso zinamtosha
Mnategemea maajabu [emoji1787]Maajabu ya man u utakuta nampiga Chelsea 2
Kumbe mnategemea miujiza?Maajabu ya man u utakuta nampiga Chelsea 2
Hata game ya Juve alivoumia Benchilwell akamuingiza alzpicuetaWAZO:- Kukosekana kwa Chilwell baada ya Injury, nadhani TT amtumie Azpilicueta upande wa kushoto badala ya Alonso.
Azpilicueta ana kasi na nguvu na mkabaji mzuri kuliko Alonso.
CONTE alimtumia sana Azpilicueta upande wa kushoto na alimudu vizuri sana hiyo nafasi na tukabeba ubingwa EPL
Mnaonaje wazee?
Kama tungewanunua ingekuwa hivi kwenye EuroKuna vitu ukivifikiria vinaleta raha!
Pesa za usajili zilizotumika:
Thiago Silva - paundi 0
Andreas Christensen - paundi 0
Trevoh Chalobah - paundi 0
Reece James - paundi 0
Mason Mount - paundi 0
Ruben Loftus-Cheek - paundi 0
Callum Hudson-Odoi - paundi 0
Billy Gilmour - paundi 0
Conor Gallagher - paundi 0
Wakati huo Utd na Man City na Liverpool wametumia mpunga kibao
View attachment 2023181
Hata Hilo Tuchel analitambua ndo maana hata game ya juve alimuingiza azpi nafasi ya chilwellWAZO:- Kukosekana kwa Chilwell baada ya Injury, nadhani TT amtumie Azpilicueta upande wa kushoto badala ya Alonso.
Azpilicueta ana kasi na nguvu na mkabaji mzuri kuliko Alonso.
CONTE alimtumia sana Azpilicueta upande wa kushoto na alimudu vizuri sana hiyo nafasi na tukabeba ubingwa EPL
Sawa Alonso mzuri kwenye kushambualia ila sio mzuri kwenye kukaba, nadhani makocha wa timu pinzani watakuja na mbinu za kutushambulia kupitia upande wa Alonso
Mnaonaje wazee?
Utakuwa umesahau mkuu...WAZO:- Kukosekana kwa Chilwell baada ya Injury, nadhani TT amtumie Azpilicueta upande wa kushoto badala ya Alonso.
Azpilicueta ana kasi na nguvu na mkabaji mzuri kuliko Alonso.
CONTE alimtumia sana Azpilicueta upande wa kushoto na alimudu vizuri sana hiyo nafasi na tukabeba ubingwa EPL
Sawa Alonso mzuri kwenye kushambualia ila sio mzuri kwenye kukaba, nadhani makocha wa timu pinzani watakuja na mbinu za kutushambulia kupitia upande wa Alonso
Mnaonaje wazee?
Game ya Juve hakutaka kumchosha sn Alonso na akaona amtumze kwa ajili ya hii game ya leo...Hata Hilo Tuchel analitambua ndo maana hata game ya juve alimuingiza azpi nafasi ya chilwell
Mkuu weka kumbukumbu sawa Alonso was best pindi conte akiwa darajaniWAZO:- Kukosekana kwa Chilwell baada ya Injury, nadhani TT amtumie Azpilicueta upande wa kushoto badala ya Alonso.
Azpilicueta ana kasi na nguvu na mkabaji mzuri kuliko Alonso.
CONTE alimtumia sana Azpilicueta upande wa kushoto na alimudu vizuri sana hiyo nafasi na tukabeba ubingwa EPL
Sawa Alonso mzuri kwenye kushambualia ila sio mzuri kwenye kukaba, nadhani makocha wa timu pinzani watakuja na mbinu za kutushambulia kupitia upande wa Alonso
Mnaonaje wazee?
occasionally alikuwa anacheza kutokana na mahitaji ya mwalimu au rotation ili kupunguza fatiqueKwahiyo Azipli hakuwahi kucheza beki ya kushoto?
Mmh mkuu hao madogo uliowataja Kwa sasa wapo Moto ..Labda km unasemea rotation wise Sawa...Ila leo Tuchel atakuwa anaumiza Kichwa yupi aanze Kati ya chalobah / Christensen.....Reece terminator lzm aanzeUtakuwa umesahau mkuu...
Conte alimtumia sn Azp km beki wa upande wa kulia kwa wale mabeki wa nyuma watatu...
Alonso na Victor Moses walitumika sn km Wingbacks...
Huo upande wa kushoto tumuache tu Alonso anafaa sn na Hana shida kabisa....
Azp apangwe nafasi ya Chalaboh au ya Reece....
Kaa kimya huna unachojua kipigo kinakuja leoWAZO:- Kukosekana kwa Chilwell baada ya Injury, nadhani TT amtumie Azpilicueta upande wa kushoto badala ya Alonso.
Azpilicueta ana kasi na nguvu na mkabaji mzuri kuliko Alonso.
CONTE alimtumia sana Azpilicueta upande wa kushoto na alimudu vizuri sana hiyo nafasi na tukabeba ubingwa EPL
Sawa Alonso mzuri kwenye kushambualia ila sio mzuri kwenye kukaba, nadhani makocha wa timu pinzani watakuja na mbinu za kutushambulia kupitia upande wa Alonso
Mnaonaje wazee?
Tunawatoa marinda leo darajaniHata game ya Juve alivoumia Benchilwell akamuingiza alzpicueta