Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huu ujinga Sasa.

Sub za mapema zihusike atoe ziyech na Werner daadeki zake
 
Bahati hayakua upande wetu, Yale magoli ya wazi siyo ya kupoteza.
Hakuna faida ya attempt nyingi wala faida ya Kona nyingi.
goli gani la wazi? Mzee mmefanyiwa pressing mkapoteana hamna cha goli la wazi wala bahati ......
 
Mdogo mdogo mnaenda kuachia nafasi pale juuu .....


City bingwaaaa [emoji91]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom