Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Hili ni group la Europa ,halina hadhi ya kucheza CL kabisaa daaa ....Kosi kama kosi.View attachment 1981341
Sitapotez muda kuaangalia hiziz takataka....





Hili ni group la Europa ,halina hadhi ya kucheza CL kabisaa daaa ....Kosi kama kosi.View attachment 1981341





Na angekua kiloba cha mchele hapo angepaisha.
One of the finest finisher, sijui kwa nini hafungi magoli mengi labda ni uchezaji wetu kule mbele sio programatic








Acha ujinga mkuu.C umeona wachezaji wadogo kama kina Lukaku tunawafukuza ila kwa hivi vitimu vyao vidogo vidogo wanaimbwa![]()
Huyu Kai Labda acheze km false 9 ndo atashine km janaOne of the finest finisher, sijui kwa nini hafungi magoli mengi labda ni uchezaji wetu kule mbele sio programatic
Chelsea wakiendelea kucheza kama jana first half uhakika wa kubeba makombe mengi msimu huu upo
Jana walikuwa ni kutafuta goli tu, kuremba remba jana hakukuwepo first half lakini waliporudi second half hasa baada ya sub ya dakika ya 60+ walirudi kwenye deffault, pasi nyingi za nyuma na side ways
Hio ni dunia ya kwenu MPITIMBICc ndiyo Manchester united, timu kubwa duniani yenye mvuto na mashabiki wengi zaidi duniani, yn man u ikifungwa dunia imefungwa, ikishinda dunia imeshinda.
Eti Chelsea inaumiaMa Cheltako huwa yanaumia kweli kweli yakiona timu kubwa duniani inauwaaa![]()


tunashinda makombe kika mwaka tunaumia wapi we mzee 

Hatuna shida na wewe. Pambana upate hata kikombe cha chai cha Uropa.Hili ni group la Europa ,halina hadhi ya kucheza CL kabisaa daaa ....
Sitapotez muda kuaangalia hiziz takataka....![]()

Na tumekusokomeza ukuni hapo kwako darajan epl.....Hatuna shida na wewe. Pambana upate hata kikombe cha chai cha Uropa.
Man City hana kombe lolote la UEFA.
UEFA Champions league 0
Uefa Europa league 0
UEFA Europa Conference league 0
UEFA SUPER CUP 0
ALAFU UNAPITA HUMU UNAONGEA ONGEA TU.
KOMA UPATE HATA KIKOMBE KIMOJAWAPO HAPO JUU NDIYO UPITE HAPA
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Dah huyu mtu akija...Youri Tielemans has rejected Leicester City’s latest offer of a new contract and is continuing to weigh up his options. Chelsea are one of the teams interested.
- @GraemeBailey View attachment 1981931
We fala eti hamna shida na makombeNa tumekusokomeza ukuni hapo kwako darajan epl.....
Sisi hatuna shida na hayo makombe by the way ,yakija okay ,yasipokuja tunaendelea kutandika vinabo Kama nyie epl and life goes on.......

Mimi sibishani na mlevi anayekunywa KIWINGU ...We fala eti hamna shida na makombe
Ndio maana tunasema man shit ni underdogs tu kiklabu kidogo tu hakina fans hakina mashiko.
Tafuteni UEFA kwanza ndio tuelewane hapa unatupigia kelele na kutujazia kiwingu![]()



Mimi nasema hivi hatuna shida na hizo sijui eufa ,and tutaendelea kutoa dozi nzito kwa timu takataka Kama Chelsea .....We fala eti hamna shida na makombe
Ndio maana tunasema man shit ni underdogs tu kiklabu kidogo tu hakina fans hakina mashiko.
Tafuteni UEFA kwanza ndio tuelewane hapa unatupigia kelele na kutujazia kiwingu![]()
We achakutupigia kelele shabiki wa man city ni wewe pekee yako tu uoni aibu kuja huku kubishana na bigwa wa ulayaMimi nasema hivi hatuna shida na hizo sijui eufa ,and tutaendelea kutoa dozi nzito kwa timu takataka Kama Chelsea .....
Hakuna namna nyingine