Juve anaongoza 1Tuchukue chetu mapema.
Juve na Zenit ngap ngap mazeee??
Kosi kama kosi.Mbona huendelei kutoa update za kosi lako kuwa lishafungwa goli mbili huko au shida yako ilikuwa kutuvurugia uzi wetu
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app






Hapo bado sijawataja watu kama kina Martial the frenchman, Lingardinho, Mata babu, Tommy the terminator, Greenwood fundi ambao kwenu vitimu vyenu vidogovidogo hao wanakuwa mastar.




















C umeona wachezaji wadogo kama kina Lukaku tunawafukuza ila kwa hivi vitimu vyao vidogo vidogo wanaimbwaKwahiyo hao wakija chelwowo wanakuwa mastaa wa timu hahaha





























































Peleken kelele zenu huko kwa thread yenu..mnshimda kwa tabu sana na hamfiki popoteYani leo yameshinda lkn hayashangilii kisa United kauwa![]()
Kuwa na adabu..chelsea haifananishwi hiyo tim yako..The Theatre of dreams kudadadeki what a comeback, man u raha saanaaa, katika watu kumi duniani basi sita lazima wawe wanashabikia Manchester united![]()
Kundi la vibonde kweli kweliKosi kama kosi.View attachment 1981341
Natabiri mwisho wa msimu mabeki watakuwa na magoli mengi plus assists kuliko washambuliaji wetuChristensen 1st Goal - la kibabeView attachment 1981430
Mbona mnaiwaza Chelsea mabingwa...kwann wasiende liverpunga...Kwahiyo hao wakija chelwowo wanakuwa mastaa wa timu hahaha