Kuna jamaa kule Liverpool Encho eti kaweka kinachotuweka pale juu ni alphabet letter, yaani C ya Chelsea iko juu ya L ya Liverpool nikacheka kumbe wengine wanauwezo wa kushika kalamu au keyboard lakini uwezo wa kuchambua hawana
Leo ligi ikiisha matokeo hivi, Chelsea ni bingwa kwa sabbau ya goli la ugenini dhidi ya Liverpool. Yaani katika goli 12 tuliyofunga moja tumemfunga Liv erpool nyumbani kwake. Kwa hiyo kwa sheria ya EPL, timu zikifungana kila kitu wanaangalia H2H result, mwenye H2H results bora ndie mshindi. Kwa hili sisi tuna head to head better results dhidi ya Liverpool kwa sababu ya ile droo tukiwa pungufu tuliyopigania pale Anfield
Unable to split the difference between
Liverpool and the reigning European champions, Thomas Tuchel’s side currently sit in top spot by virtue of alphabetical order.
Liverpool and Chelsea are currently tied at the top of the Premier League while Virgil Van Dijk played his 100th league game for the Reds
www.liverpoolecho.co.uk