We all know that is part of the game, lakini pia watu kusema hivyo walivyosema ni part and parcel of the gameThats part of the game.......tungekua tunajua litokalo tokea hamna timu ingekua ina fungwa, hao washabiki waanche hizo lawama zinavuja wachezaji morale
Tuwape tu akapikwe vizuriDortmund wanamtaka Odoi
Tuwape tusiwape?
Nini maoni yako?
Bado ligi ni changa katika soccer kuna dynamism nyingi sanaa paka tucheze robo ya ligi ndo tuweze kutabili vizuri, usishangae arsenal kumalizia kwenye top 4, mpila ni kitu cha ajabu unakua determined na mambo mengi ndani na nje ya uwaja tena kuna wachezaji wapya wa nje VAR ni hatari sana lazima na wenyewe wa kupende kwanza la sivyo ligi utaisikia tu kwa wenzako.Mechi ya Liverpool na Chelsea imenifanya nitafakari mambo mengi sn!
Chelsea iko ktk kiwango cha juu sn na wanazidi kuimarika kila siku ktk kila kitu!
Sasa na kwa namna walivyo serious na hali ya kupambana ilivyo juu namna hii, na walivyo zoea mbinu za kocha na mfumo wao na kuuishi na kuwa sehemu ya maisha yao. Naiona Chelsea hii msimu huu ikiwa bingwa wa EPL na UEFA. Na watamaliza ligi msimu huu wakiweka record kubwa na za hatari sn!
Hii timu si mchezo yaani inatisha sn na ni timu iliyo na mchanganyiko wa umri kuna vijana wadogo na umri wa kati. Kwahiyo ni timu ambayo ktk miaka mitatu ijayo itatupa raha sn....
Game ya Liverpool na Chelsea haikua rahisi kabisa km wengine wanavyoweza kufikiria. Kutoka An field na point moja huku tukiwa pungufu na hatuna Kante kwa dk 45 sio jambo rahisi ata kidogo.... Yaani tena kwa Liver iliyokamilika....
Yaani wanatakiwa kututangaza tu sisi ni mabingwa wa EPL mapema kabisa.... Na UEFA...
Mkuu kubeba uefa na EPL ni ngumu sana inatakiwa kuchague kombe moja tu la kubeba hasa uefa naona kuna option nyingi sana kuna supercup, club bingwa...hii EPL tujaribu msimu ujaoMechi ya Liverpool na Chelsea imenifanya nitafakari mambo mengi sn!
Chelsea iko ktk kiwango cha juu sn na wanazidi kuimarika kila siku ktk kila kitu!
Sasa na kwa namna walivyo serious na hali ya kupambana ilivyo juu namna hii, na walivyo zoea mbinu za kocha na mfumo wao na kuuishi na kuwa sehemu ya maisha yao. Naiona Chelsea hii msimu huu ikiwa bingwa wa EPL na UEFA. Na watamaliza ligi msimu huu wakiweka record kubwa na za hatari sn!
Hii timu si mchezo yaani inatisha sn na ni timu iliyo na mchanganyiko wa umri kuna vijana wadogo na umri wa kati. Kwahiyo ni timu ambayo ktk miaka mitatu ijayo itatupa raha sn....
Game ya Liverpool na Chelsea haikua rahisi kabisa km wengine wanavyoweza kufikiria. Kutoka An field na point moja huku tukiwa pungufu na hatuna Kante kwa dk 45 sio jambo rahisi ata kidogo.... Yaani tena kwa Liver iliyokamilika....
Yaani wanatakiwa kututangaza tu sisi ni mabingwa wa EPL mapema kabisa.... Na UEFA...
Hawa takataka wametunyima huyo Halaand na sisi tuwakazie tu ama watoe pound 170MDortmund wanamtaka Odoi
Tuwape tusiwape?
Nini maoni yako?
😂😂😂 Watupe 170m + hallandHawa takataka wametunyima huyo Halaand na sisi tuwakazie tu ama watoe pound 170M
Eee mkuu jino kwa jino hapo ..wametubania huyo haland na sis tukaze tu😂😂😂 Watupe 170m + halland
Mkuu unaweza kushangaa tatizo hata sio wao ...Ila waliocomplecate dili ni Yule kibonge raiolaEee mkuu jino kwa jino hapo ..wametubania huyo haland na sis tukaze tu
Kubeba UEFA na EPL ni rahisi sn kitu kikubwa tunatakiwa kuongoza ligi ya EPL mapema sn na kuwazidi points timu pinzani karibu 15 hapo biashara inakuwa imeisha ktk EPL inabaki ktk UEFA tu.Mkuu kubeba uefa na EPL ni ngumu sana inatakiwa kuchague kombe moja tu la kubeba hasa uefa naona kuna option nyingi sana kuna supercup, club bingwa...hii EPL tujaribu msimu ujao
Na ukizingatia tuna kikosi kipanaKubeba UEFA na EPL ni rahisi sn kitu kikubwa tunatakiwa kuongoza ligi ya EPL mapema sn na kuwazidi points timu pinzani karibu 15 hapo biashara inakuwa imeisha ktk EPL inabaki ktk UEFA tu.
Na hiyo Consistency ya kushinda games ktk EPL yaani inatakiwa tuianze sasaivi mpk kufika mwezi wa kumi na moja huko sisi tuko juu hapo na tumewazidi points kibao tu alafu tunabakiza kz ktk UEFA tu....
Kwahiyo kubeba hizo ndoo mbili ni rahisi tu kwa timu ilivyo sasaivi!
#CFC #DeadlineDay

kuna matimu kocha akija anajenga kikosi kwa misimu mitatu Bado world cup atabebaAnasiku chache sana ndani ya Chelseakuna matimu kocha akija anajenga kikosi kwa misimu mitatu View attachment 1917454

