Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,385
Hahahahahahah chelsea mnafurahisha, Ngoja tuone dakika nyingine 45.
Nilitahadhalisha mapema kuhusu huyu refarii. Yaan huwa ana chuki sana na ChelseaSina imani na refarii atakaye chezesha mechi yetu na Liverpool. Ndio alitupa kadi za njano 8 kwenye mechi ya fainali ya FA dhidi ya Arsenal.
Kwahiyo chelsea leo ina makipa wangapi?Nilitahadhalisha mapema kuhusu huyu refarii. Yaan huwa ana chuki sana na Chelsea
Watu wengine Unapata wapi nguvu z kufurahi Mzee baada ya Kula 5Hahahahahahah chelsea mnafurahisha, Ngoja tuone dakika nyingine 45.
Tatizo la huyu refarii mechi za Chelsea lazima atoe kadi nyingiKwahiyo chelsea leo ina makipa wangapi?
Sio kwamba tatizo ni Chelsea wakichezeshwa na huyu refariiTatizo la huyu refarii mechi za Chelsea lazima atoe kadi nyingi
Wewe ni falaaaa ...Mastermind TT baada tu ya red card akainama chini, kaweka cap sawa, kanywa maji, katulia. Hopeful kipindi cha pili tunaua hawa liver japo tupo pungufu.
Tunaweza kuwapiga na counterSijui TT atakuja na mbinu gani kuziba hilo pengo la James.
Tupaki bus tuu
--------- Mount ---------- Lukaku -----------
Chiliwell --- Joginho --- Kante ------ Azipi
--- Rudger - Christensen - Chilobah ----
Watu wengine Unapata wapi nguvu z kufurahi Mzee baada ya Kula 5
Ulitaka refa aweke Goal kick au .Nilitahadhalisha mapema kuhusu huyu refarii. Yaan huwa ana chuki sana na Chelsea
Stay ThereWewe ni falaaaa ...
Mtamfunga nan mkiwa pungufuu ..
Mnaenda kupelekewa motooo mpaka mtajuta kuingia uwanjan
Itakuwa threat ya injuryKocha kafikiria Nini kumtoa kante
UsiogopeMzigo umeshakuwa mzito kwetu.