ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,056
Nimeskia final jmosi Kepa atakuwepo
Duuu. But naamini atakuwa amejifunza kujioposition golini
Nimeskia final jmosi Kepa atakuwepo
Yani kuhusu Kepa kuwa golini kwenye hizo fainalingoja niandae kilio tuu
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Kepa match zote alizodaka chini ya Tuchel amejitahidi sana.


NasubiriMkuu husiogope kombe tunabeba kesho
Inatakiwa kesho tubebe FA cup ilikusudi Man City tumpatie wakatiguuu Sana tukibeba FA NA UEFA itakua vizuri SanaMkuu mimi kwa wachezaji wote wa chelsea nimekosa imani na Zuma tu🤪🤪. Kutokana na zile back basi zake.
Zuma akicheza vizuri mechi moja mechi inayofata anaharibu tena sana![]()
Kwisha habari yenu sasa mnajikuta manajua kuikazia city ona sasa mnatoka top four ...
Na bado CL Hamna uwezo wa kuchukua ...
FA kesho lecister city anaenda kuwaonesha moto wake ...
Top four Liverpool anachukua nafasi yake...
Polen sana takataka za London kwan arsenal tu ndio mbabe wa London....



kamsaidie Gardiola mbinu ya kupambana na chelseaInatakiwa kesho tubebe FA cup ilikusudi Man City tumpatie wakatiguuu Sana tukibeba FA NA UEFA itakua vizuri Sana
Mkuu ebu nenda uokoe timu yako kule. Timu inataka kuchukua UEFA imerusu magoli mawili kwa New Casto kwelikamsaidie Gardiola mbinu ya kupambana na chelsea
Sisi tumeshamalizana na league tayari hizo game wanacheza wastaf na wa cityMkuu ebu nenda uokoe timu yako kule. Timu inataka kuchukua UEFA imerusu magoli mawili kwa New Casto kwelikamsaidie Gardiola mbinu ya kupambana na chelsea





Hizi akili za kubet zitakumaliza ubaki na mbupuLeo vijana wangu Leicter wanaweza kuwapapasa
sawa mkuu
Zile mechi tulizowagonga Pep alipoteza makusudi kwa sababu anajua anacho fanya.Sisi tumeshamalizana na league tayari hizo game wanacheza wastaf na wa city
Kama mnacompare hiki kikosi na uefa ,nawambia hivi mmekwishaaa tayar ...
Pep anajua anachofanya ,subili mtaiona the cityzen halisi may 2021 kudadeeeek
View attachment 1785297
Aya tuma salamu kwa watu watatuTuchel hakuna fainali anachukua
Leo vijana wangu Leicter wanaweza kuwapapasa