Basi jiandae kuona tunabeba ndoo pale instabul hiyo siku kichwa chako kitaota nyasi.Nyinyi hata mkicheza na Wazawa FC mi nakua Wazawa
Basi jiandae kuona tunabeba ndoo pale instabul hiyo siku kichwa chako kitaota nyasi.Nyinyi hata mkicheza na Wazawa FC mi nakua Wazawa
Madrid wenzangu mpo?
Ramos kapona, tumempumzisha Kroos na Modric game iliyopita ili waje kuuwasha moto huku.
Benzema yupo fit.
Marcelo kaonyesha uhai left wing game ya juzi na Osasuna.
Vinicius speed yake ni hatari.
Leo tunapiga chuma tatu.
Madrid wenzangu mpo?
Ramos kapona, tumempumzisha Kroos na Modric game iliyopita ili waje kuuwasha moto huku.
Benzema yupo fit.
Marcelo kaonyesha uhai left wing game ya juzi na Osasuna.
Vinicius speed yake ni hatari.
Leo tunapiga chuma tatu.


Nyinyi mmeshindwa kutufunga tumecheza formation hatuijui na majeruhi 10.
Leo Ramos yupo
Ah weeBasi jiandae kuona tunabeba ndoo pale instabul hiyo siku kichwa chako kitaota nyasi.
Usikimbie tuIvi Ramos ni Nani?
Kipindi wanawatoa liver Romos hakwepo wala hatusikia hata jina lake leo kapoma Ramos Ramos subiri uone atakachofanywa leo
Tuchel anajua ugumu uliopoPia mpira wao ni ule ule waliocheza na liver in and out pia kwa Chelsea ni hiyo hiyo. So sioni maajabu kutoka kwao![]()
Tulikuwekea Kepa. Usijisahaulishe.Yaani mliwafunga man city B ya kina sterling na jesus mnavimba ...
Kwanza tunakuja kutangaza ubingwa kwenu ,then kama tukikutana final..
itabidi muandike barua ya kujihudhuru kwenye mashindano kwan moto mtakaokutana nao ni kilio
![]()
Ata Zidane anatambua ugumu uliopo sn. Tena km Zidane anakuja darajani atakuwa na approach ya kujilinda sn na kutumia counter attacks tu. Yaani atakua defensive sn. Na atategemea Moira wa kasi sn ktk kushambulia. Lkn yote hayo tunatambua lazima tuwe sold sn ktk kukakata hizi mbinu zakeTuchel anajua ugumu uliopo
Hao watatu mbele wanakuwa wakali akicheza Werner, asipokuwepo hapo werner defence itaonekana ngumu. Bora Pulisic acheze kipindi cha pili
Tukiweza kuikamata middle yao, shughuli tutakuwa tumeimaliza,Ata Zidane anatambua ugumu uliopo sn. Tena km Zidane anakuja darajani atakuwa na approach ya kujilinda sn na kutumia counter attacks tu. Yaani atakua defensive sn. Na atategemea Moira wa kasi sn ktk kushambulia. Lkn yote hayo tunatambua lazima tuwe sold sn ktk kukakata hizi mbinu zake
So leo hamna kisingizio?Madrid wenzangu mpo?
Ramos kapona, tumempumzisha Kroos na Modric game iliyopita ili waje kuuwasha moto huku.
Benzema yupo fit.
Marcelo kaonyesha uhai left wing game ya juzi na Osasuna.
Vinicius speed yake ni hatari.
Leo tunapiga chuma tatu.
Madrid ni Arsenal iliyochangamkaWewe ni Arsenal au Madrid?
Nashukuru sasa wana blues wome anza kutambua umuhimu wa Warner katika kila mechi, sio lazima afunge ndo awe mazuri huyu jama ana sababisha walinzi wa timu pinzani kupagawaHao watatu mbele wanakuwa wakali akicheza Werner, asipokuwepo hapo werner defence itaonekana ngumu. Bora Pulisic acheze kipindi cha pili
Tukiwaambie hao jamaa "LONDON IS BLUE and FOOTBALL IS THE GAME" wanabishaKatika mechi 9 za London Derby alizocheza Chelsea
Imeshinda 7
Imefungwa 1
Imedroo 1
View attachment 1771614
Katika table Chelsea inaongoza kwa point 22, GD ya 13 na Point kwa kila mechi ni 2.44
View attachment 1771615
LONDON IS BLUE ALWAYS
unambwata tu ongea kitaalamu ni udhaifu gani sio kupiga ramli kama mganga wa kienyeji.Madrid anashinda zaidi ya goli 2 leo, Chelsea inaudhaifu mkubwa bado mkumbuke hii comment badae.