Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,208
Lazima leo kieleweke London is blue
Tuwe pamoja. Usitoke nduki tuMadrid anashinda zaidi ya goli 2 leo, Chelsea inaudhaifu mkubwa bado mkumbuke hii comment badae.
Uyo Ramos anamuwezaga Salah tu hapa darajani hatoki mtu leo..Leo Ramos yupo asije akamvunja Kai mguu.
Udhaifu gani alionao chelseaMadrid anashinda zaidi ya goli 2 leo, Chelsea inaudhaifu mkubwa bado mkumbuke hii comment badae.
Hao madrid wako hawatapata on target hat moja.Madrid anashinda zaidi ya goli 2 leo, Chelsea inaudhaifu mkubwa bado mkumbuke hii comment badae.
EPL mechi 15 clean sheet 11, wivu huoMadrid anashinda zaidi ya goli 2 leo, Chelsea inaudhaifu mkubwa bado mkumbuke hii comment badae.
Havertz hatacheza no. 9, False nine ni kama namba 10 muda mwingi atakuwa akicheza kama kiungo kwa hiyo itakuwa ngumu kumpataLeo Ramos yupo asije akamvunja Kai mguu.
wemenChelsea wemen wameshatinga fainal UEFA watakipiga na Barca wemen..
Bado siisi lazima Moto uwake leo..
Wewe utaenda golin kuzuia magoli yasiingie auTuchel baba leo draw ya 0 - 0 inatosha. Madrid Wacheze nje ndani wasiingie.
FT 0 - 0




wacha mawenge mkuuMkuu hiki kikosi alichowawekea pep ni dhaifu kubali ...Plastic fans wa Man city wanadai Pep kafanya mabadiliko tisa kutoka kwenye first team kwenye nusu fainali ya FA na Chelsea ndio maana wakafungwa
Naomba watuonyeshe hayo mabadiliko tisa hapa ili tuzungumze lugha moja tafadhali
View attachment 1774426
Namkubali Werner awepo uwanjani, wide position Havertz bado hajatimia sana kwenye mechi kubwa japo Havertz ni bora golini kuliko WernerLakini mechi ya Madrid tunamuhitaji Harvetz? Kwanini isiwe;-
Pulisic - Werner - Mount/Ziyech
Harvetz atokee benchi.
Mabadiliko ni hayaPlastic fans wa Man city wanadai Pep kafanya mabadiliko tisa kutoka kwenye first team kwenye nusu fainali ya FA na Chelsea ndio maana wakafungwa
Naomba watuonyeshe hayo mabadiliko tisa hapa ili tuzungumze lugha moja tafadhali
View attachment 1774426
Jibu swali basi na uache ngonjera nyingiMkuu hiki kikosi alichowawekea pep ni dhaifu kubali ...
Mendy
Sterling
Jesusu
Laporte
Cancelo
Hao sio watu wa kuamua matokeo city ..
Subili mtaona city yenyewe mkija final kama mtabahatika kufika ,..!
Kikosi cha city ni hiki
Foden
Gundo
Mahrez
Kdb
Walker
Ederson
Bernado Silva
Ridrigo
Stone
Dias
Zincheko
...........tukutane weekend hii ,haijaisha bado ......
Hujielewi wewe nimekuwekea kikosi huoni ,au na wewe ni takatakaJibu swali basi na uache ngonjera nyingi
Sisi tulifanya mabadiliko ngapi, tumewawekea Kepa golini akatoka na clean sheet