Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sasa mashabiki mnaruhusiwa kuwepo kwenye kikao cha Bodi ya Wakurugenzi ili kuhakikisha maslahi ya mashabiki yanazingatiwa kwenye kupitisha maamuzi
Nafikiri ndio faida ya Super League nilijua tu italeta mabadiliko, na Mbado

Arsenal nao mabishano ya kubadilisha mfumo wa umilikiwa klabu ili kuwapa majority share mashabiki badala ya investors. Na wakifanya hivyo mashabiki ndio watakuwa na kura ya veto kwenye maamuzi ya bodi

EPL imeazisha Club Owners Charter ili waazibiane humo humo kama kuna ukiukwaji wa sheria kama ilivyotokea kwenye uanzishwaji wa ESL ambapo owners ndio walihusika zaidi
 
Tony Rudiger is ready to fight
IMG_20210505_053947.jpg
 
Yaani mliwafunga man city B ya kina sterling na jesus mnavimba ...


Kwanza tunakuja kutangaza ubingwa kwenu ,then kama tukikutana final..


itabidi muandike barua ya kujihudhuru kwenye mashindano kwan moto mtakaokutana nao ni kilio
Mtu mzima hatishiwi nyau wewe,Chelsea fc siyo timu ndogo wanauzoefu mkubwa sana na wako tayari kwalolote tena bora mkutane na timu nyingine siyo chelsea kwenye hatua kama hii,tunza post yangu.
 
Man United wanaweza kupokonywa points kwa sababu ya mchezo wao na Liver kuvunjika kwa sababu ya mashabiki wao uchwara kuharibu amani kwenye uwanja. Ikitokea hivyo, Man City wanaweza kupewa ubingwa mezani badala ya uwanjani
 
Dah huyu kijana Harvetz ana akili sana ya mpira. Alimpa Werner pass akijua kabisa Werner yuko mwenyewe katikati ya msitu wa Fulham.

Dogo akakatiza kwenda kuipokea ile pass na kufunga. Mabeki wa Fulham walishindwa kumark Harvetz kwa sababu Werner naye alitumia akili ya kuwazubaisha mabeki.

Werner hata kama hafungi ila umuhimu wake pale mbele ni mkubwa sana, anapachezesha vizuri sana.

Salute Harvetz tuko pamoja kijana wangu. Nimeanza kukubali, kula msosi vizuri uendelee kupata nguvu ya kuachia mashuti makali.
Werner is the best prayer. I do appreciate him.
 
Yaani mliwafunga man city B ya kina sterling na jesus mnavimba ...


Kwanza tunakuja kutangaza ubingwa kwenu ,then kama tukikutana final..


itabidi muandike barua ya kujihudhuru kwenye mashindano kwan moto mtakaokutana nao ni kilio
Wataelewa tuu
 
Man United wanaweza kupokonywa points kwa sababu ya mchezo wao na Liver kuvunjika kwa sababu ya mashabiki wao uchwara kuharibu amani kwenye uwanja. Ikitokea hivyo, Man City wanaweza kupewa ubingwa mezani badala ya uwanjani
Sio tff ile ilo sahau
 
Sasa mashabiki mnaruhusiwa kuwepo kwenye kikao cha Bodi ya Wakurugenzi ili kuhakikisha maslahi ya mashabiki yanazingatiwa kwenye kupitisha maamuzi
Nafikiri ndio faida ya Super League nilijua tu italeta mabadiliko, na Mbado

Arsenal nao mabishano ya kubadilisha mfumo wa umilikiwa klabu ili kuwapa majority share mashabiki badala ya investors. Na wakifanya hivyo mashabiki ndio watakuwa na kura ya veto kwenye maamuzi ya bodi

EPL imeazisha Club Owners Charter ili waazibiane humo humo kama kuna ukiukwaji wa sheria kama ilivyotokea kwenye uanzishwaji wa ESL ambapo owners ndio walihusika zaidi
Ikipita hii owners kibao watatimuliwa
 
Wakuu ushauli wenu naitaji hii game yaleo nikaangalie ubanda au nitulie home na familia mana ramosi kaka siom2 kabisa
 
Madrid wenzangu mpo?

Ramos kapona, tumempumzisha Kroos na Modric game iliyopita ili waje kuuwasha moto huku.

Benzema yupo fit.

Marcelo kaonyesha uhai left wing game ya juzi na Osasuna.

Vinicius speed yake ni hatari.

Leo tunapiga chuma tatu.
 
Madrid wenzangu mpo?

Ramos kapona, tumempumzisha Kroos na Modric game iliyopita ili waje kuuwasha moto huku.

Benzema yupo fit.

Marcelo kaonyesha uhai left wing game ya juzi na Osasuna.

Vinicius speed yake ni hatari.

Leo tunapiga chuma tatu.
Nyie ni wachumba tu hamna lolote mlishindwa kutufunga kwenu mtaweza ugenini ninachojua hadi sasa Madrid mmekuwa eliminated hasanteni kwa kushiriki.
 
Nyie ni wachumba tu hamna lolote mlishindwa kutufunga kwenu mtaweza ugenini ninachojua hadi sasa Madrid mmekuwa eliminated hasanteni kwa kushiriki.
Nyinyi mmeshindwa kutufunga tumecheza formation hatuijui na majeruhi 10.

Leo Ramos yupo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom