Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hakim Ziyech ‘wants to leave’ Chelsea. He doesn't 'feel part' of Thomas Tuchel's core plans at the club, and will soon 'seek to hold a meeting' with Marina Granovskaia to sort out his future.

Via [ Sport witness]
Fake news, hata hawakakuweza kuiframe vizuri uongo wao, Sababu za Uongo
  1. Ni mapema mno ujinga kama huo kujitokeza, Meneja bado anawajaribu wachezaji hakuna first 11 iliyowekwa na Tuchel na hivyo ni mapema kusema kuwa Ziyech hafit in kwenye plans za Tuchel
  2. Mchezaji hawezi kuongea na Director wakati meneja wake yupo
 
Hamuwezi ingia top 4 sababu hiyo nafasi ya nne ni ya westham kwa wiki hii [emoji1787][emoji1787]
 
Sancho is United in blood alidrop kiwango ili apungue bei aje united .. Sancho to Chelsea never to happen anaenda old Trafford
Kwani wachezaji wanapewaga mkataba kwa sababu ya ushabiki? Wachezaji nhuwa wanafuata maslahi hata kama maslahi yatapatikana kwenye rival team wanakwenda huko. Michael Owen alienda Manchester United wakati yeye ni shabiki ndakindaki wa Liverpool
 
Hii team inabebwa Sana na marefa haiwez chukua points 3 bila penalty
 
Na huu ndio ukweli
Mashabiki wenzangu wa THE BLUES bado tuna mlima mrefu sana kumaliza TOP 4 kutokana na changamoto inayotukabili kwa sasa ya uchache wa ufungaji wa magoli.

Nadhani kwa sasa katika jambo linamuumiza kichwa kocha wetu TT ni jinsi gani atawaboresha wafungaji wetu wafunge magoli mengi.

Nimejaribu kuangalia wafungaji wa timu 7 ambazo zipo kwenye ushindani wa kumaliza top 4

Liverpool - Salah - 17 goals
Man utd - Bruno - 13 goals
Everton - Calvert - 13 goals
Spurs - Kane - 13 goals
Spurs - Son - 13 goals
Leicester - Vardy - 11 goals
Villa - Watking - 11 goals

Safu ya Ushambuliaji The BLUES EPL 20/21

1. Abraham - 6
2. Werner - 4
3. Mount - 3
4. Giroud - 2
5. Odoi - 2
6. Ziyech - 1
7. Harvetz - 1
8. Pulisic - 1

Tunahitaji wafungaji wetu waanze kufunga magoli mengi zaidi kule mbele atleast timu iwe na asilimia kubwa ya kushinda mechi.

Hivi vigoli vimoja vimoja vya Azipu, Jognho (Penati) na Alonso yawe magoli ya nyongeza, kuna siku vitakosekana tuanze kutafutana hapa.

Binafsi naona tuna hali mbaya sana kiufungaji, bado hatuwezi kujigamba tunaweza kutamaliza TOP 4 wakati wafungaji wetu wanakata viuno kule mbele.

Werner, Giroud, Ziyech, Odoi, Pulisic, Abraham waamke usingizini tunahitaji mabao na sio kula mshahara bure.


View attachment 1702252
 

Latest Premier League top-four odds

  • Manchester City @ 1/500
  • Manchester United @ 1/5
  • Liverpool @ 1/4
  • Chelsea @ 10/11
  • Leicester @ 1/1
  • Tottenham Hotspur @ 3/1
  • Everton @ 7/1
  • Aston Villa @ 9/1
  • West Ham @ 12/1
  • Arsenal @ 20/1
Source: telegraph.co.uk
 
Finishing top 4 By percentagewise
  • Manchester City 98%
  • Manchester United 78%
  • Leicester 60%
  • Chelsea 55%
  • Liverpool 50%
  • West Ham 20%
  • Tottenham Hotspur 20%
  • Aston Villa 10%
  • Everton 4%
  • Arsenal 1%
 
Finishing top 4 By percentagewise
  • Manchester City 98%
  • Manchester United 78%
  • Leicester 60%
  • Chelsea 55%
  • Liverpool 50%
  • West Ham 20%
  • Tottenham Hotspur 20%
  • Aston Villa 10%
  • Everton 4%
  • Arsenal 1%
Me naona kabisa Chelsea ana nafasi kubwa ya kuwa no 2 akishinda leo tofauti ya point yake na man u inakuwa 4 man u trending yake si nzuri kila game kwake inakuwa fainal
 
Mashabiki wenzangu wa THE BLUES bado tuna mlima mrefu sana kumaliza TOP 4 kutokana na changamoto inayotukabili kwa sasa ya uchache wa ufungaji wa magoli.

Nadhani kwa sasa katika jambo linamuumiza kichwa kocha wetu TT ni jinsi gani atawaboresha wafungaji wetu wafunge magoli mengi.

Nimejaribu kuangalia wafungaji wa timu 7 ambazo zipo kwenye ushindani wa kumaliza top 4

Liverpool - Salah - 17 goals
Man utd - Bruno - 13 goals
Everton - Calvert - 13 goals
Spurs - Kane - 13 goals
Spurs - Son - 13 goals
Leicester - Vardy - 11 goals
Villa - Watking - 11 goals

Safu ya Ushambuliaji The BLUES EPL 20/21

1. Abraham - 6
2. Werner - 4
3. Mount - 3
4. Giroud - 2
5. Odoi - 2
6. Ziyech - 1
7. Harvetz - 1
8. Pulisic - 1

Tunahitaji wafungaji wetu waanze kufunga magoli mengi zaidi kule mbele atleast timu iwe na asilimia kubwa ya kushinda mechi.

Hivi vigoli vimoja vimoja vya Azipu, Jognho (Penati) na Alonso yawe magoli ya nyongeza, kuna siku vitakosekana tuanze kutafutana hapa.

Binafsi naona tuna hali mbaya sana kiufungaji, bado hatuwezi kujigamba tunaweza kutamaliza TOP 4 wakati wafungaji wetu wanakata viuno kule mbele.

Werner, Giroud, Ziyech, Odoi, Pulisic, Abraham waamke usingizini tunahitaji mabao na sio kula mshahara bure.


View attachment 1702252
Unachosema ni kweli sema ninachoona kwa foward zetu mweny pressure ni Timo kwa sababu amepata chance nyingi sana, aliye at easy kidogo ni Abraham kwa sababu ya uzoefu wake ndani ya club lakin pia hajapata nafasi nyingi kuanza kwenye kikosi cha kwanza. Ziyech na Pulisic nadhani ni yale majeraha yaliwaondoa kwnye zile form walizokua nazo.

So nionacho mimi kwa hawa foward ni swala la muda tu watarudi kwenye form zao na tutaanza ku enjoy kama ilivyo kawaida ya Chelsea
 

Chelsea plot surprise Eriksen-Jorginho swap deal with Inter


New Chelsea boss Thomas Tuchel is seemingly planning to plan his attack around Christian Eriksen.
 

Chelsea plot surprise Eriksen-Jorginho swap deal with Inter


New Chelsea boss Thomas Tuchel is seemingly planning to plan his attack around Christian Eriksen.
Boateng 32
Eriksen 29

Tuchel naona anataka biashara(makombe) ikamilike mapema. Hao ni matured, experienced na more motivated though inakata morali ya kina Mount, Kai, zouma japo inatakiwa iwachallenge kufanya bidii.
 
Fungate yenu na Tuchel inafikia mwisho, sasa jiandaeni na vichapo kama mwanzo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom