Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Lampard kweli saa nyingine mpuuzi, sikia anavyosema kuwa Kante ana weza kucheza nafasi nyingi, ndio maana anamtoaga kwenye DM position. Kwani hizo nafasi zingine hazina watu, mbona wako wengi tu. Timu inashambuliwa sana Kante asipocheza DM

"His attributes are incredible, he can play in many positions in the midfield. The energy and ability to win the ball back, but also his ability on the ball, which is sometimes underrated, is amazing. He can play in different roles.
"People always want to talk about that he’s the best defensive midfielder and should be in a deeper role. But he can play in lots of different roles to massive effect and I am pleased he is fit now. We will have to keep managing that to make sure he stays fit, because he is massively important.”
Kwa jins nilivyomuelewa hiyo inatokea tu pale jorginho anapokuwa yupo ndan ndio kante anamove kutoka kwenye dm kwenda kwenye RCM,

Kama uliona goal la 4 lilivyopatikana jana kante alihama position baada ya jorginho kuingia, kante alipanda mbele
 
Ingawa pia goli LA kwanza LA Sheffield lilitokana na kuchelewa kwake kummark mchezaji wao aliyepiga krosi
Mchezaji hakosi makosa madogo madogo, hata Silva jana kuna pasi kama mbili kapiga katikati wangekuwa sharp kwenye counter Shefield wangetufunga mbili au 3
 

Timo Werner’s opener against Southampton has made the October shortlist for the Premier League’s Goal of the Month award.​

1604829161024.png
 
Chelsea haijashindwa kwenye mechi 8 mfululizo tangu tupoteze kwa Spurs kwenye Karabao Cup tena kupitia penalti
Katika mechi hizo nane, tumefunga magoli 21 na kufungwa nne tu na ndani ya hizo mechi nane tuna cleansheet 5 na kubeba points 18
 
Frank Lampard on Zouma

‘I’ve been really impressed with Kurt, his form and what he’s given us,’ said Lampard.

‘He’s scoring goals from set-pieces and defending set-pieces well which is a big part of our game, and something we can improve on from last year.

‘Kurt has been here a long time but he’s had some injury problems which have made his career difficult when he was just getting himself feeling comfortable at the club. He had his loan moves which were successful, certainly the Everton one he had before he came back to us.
 
Chelsea haijashindwa kwenye mechi 8 mfululizo tangu tupoteze kwa Spurs kwenye Karabao Cup tena kupitia penalti
Katika mechi hizo nane, tumefunga magoli 21 na kufungwa nne tu na ndani ya hizo mechi nane tuna cleansheet 5 na kubeba points 18
Kutokuruhusu kufungwa magoli mengi hiyo ni advantage kwetu ..muhimu tukikutana na hizi timu ndogo ndogo, ni kuzibamiza tu goli za kutosha maana huko ndo pakupatia point ..hizi timu kubwa ni iwe kuweka heshima tu.

Viva Chelsea 💙💙💙
 
Watu wamesahau timu zao wanadiscuss kuhusu HZ Na macleansheet ya mendy
 
Kutokuruhusu kufungwa magoli mengi hiyo ni advantage kwetu ..muhimu tukikutana na hizi timu ndogo ndogo, ni kuzibamiza tu goli za kutosha maana huko ndo pakupatia point ..hizi timu kubwa ni iwe kuweka heshima tu.

Viva Chelsea 💙💙💙
Hizi timu kubwa na sumbufu ikiwezekana ni mwendo wa ulinzi shirikishi 3-4-3
 
Ipo siku mtanielewa katika swala la Tammy. Hebu angalia alivyotumia udhaifu wa mabeki kwa kujiposition vizuri kwenye space ya kutosha. Angekua striker mwingine au yule Tammy wa zamani angeenda naye kwa wale mabeki watatu ili asubiri cross ya Kova kuja golini.

Proffesionalism at its best. Dogo ana improve sana hata yale malalamiko kumhusu yeye siku hizi yamepungua.

Holla Blues[emoji838][emoji838][emoji838]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ipo siku mtanielewa katika swala la Tammy. Hebu angalia alivyotumia udhaifu wa mabeki kwa kujiposition vizuri kwenye space ya kutosha. Angekua striker mwingine au yule Tammy wa zamani angeenda naye kwa wale mabeki watatu ili asubiri cross ya Kova kuja golini.

Proffesionalism at its best. Dogo ana improve sana hata yale malalamiko kumhusu yeye siku hizi yamepungua.

Holla Blues[emoji838][emoji838][emoji838]

Sent using Jamii Forums mobile app
Same to reece james wa msim huu sio yule wa msim uliopita.
 
Ipo siku mtanielewa katika swala la Tammy. Hebu angalia alivyotumia udhaifu wa mabeki kwa kujiposition vizuri kwenye space ya kutosha. Angekua striker mwingine au yule Tammy wa zamani angeenda naye kwa wale mabeki watatu ili asubiri cross ya Kova kuja golini.

Proffesionalism at its best. Dogo ana improve sana hata yale malalamiko kumhusu yeye siku hizi yamepungua.

Holla Blues[emoji838][emoji838][emoji838]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasababu ya ushindani wa kikosi ndio maana karise standard, kipindi kile alikuwa Hana competition lakini na pressure alikuwa nayo cos alikuwa Ni striker tegemezi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom