Akipangwa jorginho pale Kati usitegemee Chelsea tutafunga magoal mengi au kucheza mpira wa kushambulia sanaNaomba niseme haya
1; sasa hv safu ya ulinzi iko vzr kuanzia kwa dawa ya washambuliaji pinzani (Mendy), zouma na silva ila washambuliaji bado cjaona makali.
2; leo nmemuona kepa, daaah jamaa mpaka nmemuonea huruma ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ japokuwa cjawah kumkubali ila ntaongea na FL ampe game ht moja la UCL kama tukipita makundi