Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Timu pekee ambazo hazijafungwa bado kwenye UCL ni Chelsea na Liverpool
Liverpool wana magoli 8 kibindoni na Chelsea wanazo 7
Liverpool kashinda mechi zote, Chelsea katoa droo moja
 
Walifungwa kama nilivyosema, Sevilla waliendelea kumiliki mpira utadhani hawana red card. Sijui hata hayo mawili waliyafungaje
Dah acha tu shida nilimfuata kwenye mkeka halafu ndo aliyekuwa ananipa presha ndo maana mpaka sasa sijaamini alishindaje
 
Screenshot_20201106-030100.png
wazungu wameshaanza uchawi, siku sio nyingi tutasikia mendy amefukuzwa UK kwa kosa la ubakaji
 
Afadhali ya Jo mara 10 kuliko Pogba, yule ana dharau, hawezi passing za kasi ya FL, atadilute timu. Jo ana mapungufu yake lakini ni kiongozi, anajua kuinspire, hana majungu kama Pogba, hiyo kwake inatosha kuwa asset kwa Chelsea
Me naona combo ya Pogba na Kante italeta hatari balaa, itawasha moto. Bado naamin Pogba ni mchezaji mzuri sana pengine anaweza akabadilika akitoka Man United.
 
Ntaweka siku hazard akiwazadia kwa jezi ya madrid
Ingefaa sana kama ungetuwekea maana BA ni former player wetu na kaifunga Man United hivyo tunajisikia Faraja kweli kuona li timu kama Man u likiadhibiwa na xplayer wetu ambao pia waliwahi kuiadhibu wakiwa Chelsea😀😀😀

Hivyo tunaomba hilo goli haraka sana😎😎😎
 
Ndugu hamna shukrani kabisa. Tumieni MB zenu kwenye huo upuuzi. Ama kweli shukrani ya punda mateke
Ingefaa sana kama ungetuwekea maana BA ni former player wetu na kaifunga Man United hivyo tunajisikia Faraja kweli kuona li timu kama Man u likiadhibiwa na xplayer wetu ambao pia waliwahi kuiadhibu wakiwa Chelsea😀😀😀

Hivyo tunaomba hilo goli haraka sana😎😎😎
 
Ingefaa sana kama ungetuwekea maana BA ni former player wetu na kaifunga Man United hivyo tunajisikia Faraja kweli kuona li timu kama Man u likiadhibiwa na xplayer wetu ambao pia waliwahi kuiadhibu wakiwa Chelsea😀😀😀

Hivyo tunaomba hilo goli haraka sana😎😎😎
Huyu huyu Ba ndie aliwaadhibu Liverpool na kuwanyima ubingwa 2014 enzi zile za Suarez baada ya lile tukio maarfu la Steven Gerrad kudondoka golini
 
🎙 Frank Lampard's Pre-Sheffield Press Conference :

🔵 Frank Lampard says Sheffield United are an amazing team with a great manager. Says their league position shouldn't be used as a guideline.

🔵 Christian Pulisic is OUT. He isn't in training!

🔵 Kepa Arrizabalaga is in the squad to face Sheffield United.

🔵 Chelsea waiting for Kai Havertz to become symptom-free.

🔵Christian Pulisic trained at a low level midweek, however wasn't comfortable. Looking for right solution, says Lampard.


🔵 Frank Lampard says Thiago Silva's English is improving, particularly in a football sense.

🔵 Frank Lampard says he is proud of #Chelsea players getting called up for their country.

🔵 Reece James will return to #Chelsea after England's first game.

🔵Timo Werner was planned to be rested at Burnley. Refuses to comment on whether he will play or not against Sheff Utd.

🔵 Frank Lampard says Olivier Giroud has been amazing with the rest of the squad, despite not playing.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom