lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,704
- 25,947
Jumamosi tuko na Man United. Timu tuliyonayo sio pana na ni lazima baadhi ya wachezaji wapumzishwe, Kwanza Kante kucheza ilikuwa ni ku-risk. Group stage ina mechi 6 kuna room kubwa ya kupata points za kutosha kushika nafasi ya kwanza au ya pili. Kwa hiyo naombeni shime tunzeni hisia na hasira zenuUnampiga bench azplicueta mtu anaepush timu kisa James kweli?