Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,723
Ohoo sawa kijanaWalikufurahisha walipokubomoa pia? Ile 2-1
Ohoo sawa kijanaWalikufurahisha walipokubomoa pia? Ile 2-1
Mbona unalialia kenge wewe ?nilikuletea habari hapa Thiago Silva babu wa miaka 36 anakuja ,ukabishaKwa kuangalia tu miguu huoni kama wako mbali? Hivi unadhani humu ni sawa na kule kwenu unawajaza wenzako ujinga tu
Kwahiyo wewe shida yako nini? Lini nilikuomba unipandishe cheo?acha hizo kijana ,tusipangiane ,yan sijawah kutegemea kumbe na wew unaakil za kitoto ivi yani gossip stories unazifany ziwe kwel aisee nmekushusha vyeo sana kuwa shabiki pinzan haimanishi uwe unaongea negative vitu visivyo na uthibitisho
Yani wew mzee mzm msomi kabisaa unaongea ujinga inabid ujifikrie mara mbil
KwelArsenyeto ni kikundi Cha wahuni hamna Timu mule
Kuwa na mke sio suala,Wengine paka wabustiwe mzee baba acha ushamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]We kweli gaygooner yaan umeenda huko kuokota huko vihabari vyako vya udaku na kuleta hapa....kwan nani asiyejua hao terry na lampard ni straight ...kila MTU ana mke wake ...mpk terry aliwahi kupata kesi ya kuruka na mke wa teammate wake Wayne bridge mpk kesi ilifika mbali....does it sound gayish to you?View attachment 1556349
Hawa wanakulana bila ubishiKuwa na mke sio suala,Wengine paka wabustiwe mzee baba acha ushamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1556658
Vingine tumiaga akili we unaona hao ni wa kuboostiwa kweli ....afu nashangaa mnajua mambo mengi ya kihvyo mpk mnaanza kutia mashaka kwenye nyuzi za watuKuwa na mke sio suala,Wengine paka wabustiwe mzee baba acha ushamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1556658
Kwa maana hyo na hawa wanabustiwa sio....Kuwa na mke sio suala,Wengine paka wabustiwe mzee baba acha ushamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1556658
Swain kwali we!Nyie mashabiki wa Chelsea kwann mnahangaika kuwajibu hawa matakataka.??? Inasikitisha sana Page karibia 10 ni matusi. Hapa tupo kujadili masuala ya klabu yetu si kushindana kwa mambo ya kipuuzi.
Achaneni nao wakipost upumbavu usihangaike ku reply we jifanye kama hujaona kitu, mnapo wajibu ndio mnawafanya waendelee kufanya ujinga wao.
Hao matakataka akili zao zimeyumba kwahiyo achaneni nayo.
We nyani ngebu turia dawa ikuingie jukwaa lenu limepoa kinoma kazi kuvamia nyuzi za mwenzenu.rudi kwenye Uzi wenu mkajadili mambo ya msingi ya klabu yenuSwain kwali we!
Yani leo we unajifanya mstaarabu?
Au ndio toto baya zuli kwa mama yake?
Wewe ndio muharibufu wa nyuzi za watu,Nyie mashabiki wa Chelsea kwann mnahangaika kuwajibu hawa matakataka.??? Inasikitisha sana Page karibia 10 ni matusi. Hapa tupo kujadili masuala ya klabu yetu si kushindana kwa mambo ya kipuuzi.
Achaneni nao wakipost upumbavu usihangaike ku reply we jifanye kama hujaona kitu, mnapo wajibu ndio mnawafanya waendelee kufanya ujinga wao.
Hao matakataka akili zao zimeyumba kwahiyo achaneni nayo.
Hii nayo ni takataka tu.Nyie mashabiki wa Chelsea kwann mnahangaika kuwajibu hawa matakataka.??? Inasikitisha sana Page karibia 10 ni matusi. Hapa tupo kujadili masuala ya klabu yetu si kushindana kwa mambo ya kipuuzi.
Achaneni nao wakipost upumbavu usihangaike ku reply we jifanye kama hujaona kitu, mnapo wajibu ndio mnawafanya waendelee kufanya ujinga wao.
Hao matakataka akili zao zimeyumba kwahiyo achaneni nayo.
Utani ni jambo LA muhimu sana.Wewe ndio muharibufu wa nyuzi za watu,
Leo unalalamika , jifunze kuwa mstaarabu nakwambia ,
Watu tunataniana lkn sio kuketeana matusi ,
Simple sana unaignore wajinga wajinga wote wanaotukana na kuleta hoja za kijinga instead ya kubishana kwa hoja watu wanaleta matusi na most wanaonekana ni joblessNyie mashabiki wa Chelsea kwann mnahangaika kuwajibu hawa matakataka.??? Inasikitisha sana Page karibia 10 ni matusi. Hapa tupo kujadili masuala ya klabu yetu si kushindana kwa mambo ya kipuuzi.
Achaneni nao wakipost upumbavu usihangaike ku reply we jifanye kama hujaona kitu, mnapo wajibu ndio mnawafanya waendelee kufanya ujinga wao.
Hao matakataka akili zao zimeyumba kwahiyo achaneni nayo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simple sana unaignore wajinga wajinga wote wanaotukana na kuleta hoja za kijinga instead ya kubishana kwa hoja watu wanaleta matusi na most wanaonekana ni jobless