Mmmh, kazi ipo leo.
Naona kabisa aggregate ya 8+
Unasemaje?Wewe jamaa una matatizo makubwa sana, akili zako haziko sawa.
Man unafikiri Ronaldo agekuwa Chelsea angepewa mwaka 1? sasa niambie upekee wa jamaa kupewa miaka 3 wakati hata miwili ni upendeleo kwa past record zakeChealsea ni timu ina Sera za kipumbavu sana.Mchezaji hata akiwa mzuri namna gani akifikusha umri wa miaka 30 tu wanaanza kumletea ujinga wa mkatababa wa mwaka mmoja.
Leo Lewandiski amewafunga goli nyingi na ndio ana 31.Angekuwa Chelsea huyu angeuzwa arsenal au man U.
Hizi ni akili au matope?