Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

ukweli ni kwamba barca ni timu nzuri zaidi kuliko chelsea...hivyo basi inapewa uwezekano mkubwa wa kuifunga chelsea.
 
Kweli mpira una dunda, lakini kale ka-Messi nomaa.

Fainali Barca vs Madrid, na ubingwa unaenda Madrid mwaka huu.
 
Siku uongoza wa Platini ukitoka ndipo kutakuwa na maamuzi ya halali kwa timu itakayocheza na hao wap.uuzi kwa sasa itakuwa vigumu wana kwa chelsea kutendewa haki katika maamuzi makubwa kama penalties, red cards disallowed goals, na yale madogo ambayo si rahisi watu kunotice kama mwamuzi kuharibu moves za timu kwa filimbi zisokuwa na maana. Mpaka sasa Ovebro, Bussaca, Stark na wengine wote waliotumika kuibeba farselona hawajachukuliwa hatua yoyote na UEFA
swali la mleta mada halina mashiko...

wewe umejibu vyema ila mleta mada ni mshabiki ubwabwa
 
Nadhani hata kauli ya morinho ni ya kufanya baca wabweteke kwani anajua akikutana nao kunyanyua ndoo ni ndoto
 
Siku uongoza wa Platini ukitoka ndipo kutakuwa na maamuzi ya halali kwa timu itakayocheza na hao wap.uuzi kwa sasa itakuwa vigumu wana kwa chelsea kutendewa haki katika maamuzi makubwa kama penalties, red cards disallowed goals, na yale madogo ambayo si rahisi watu kunotice kama mwamuzi kuharibu moves za timu kwa filimbi zisokuwa na maana. Mpaka sasa Ovebro, Bussaca, Stark na wengine wote waliotumika kuibeba farselona hawajachukuliwa hatua yoyote na UEFA


Naunga mkono hoja kwa kiasi kikubwa sana!!Lakini pia tusisahau jamani historia za hivi karibuni pindi wanapokutana chelsea na UEFAlona,mara zote zimekuwa ni mechi ngumu sana kwa uefalona na mara nyingi wamekuwa wakiitoa chelsea kwa away goal advantage so nadhani tutegemee chochote kutokea ingawa ni ukweli usiopingika kuwa hawa jamaa huwa wanabebwa na uefa sana!!
 
nilishakia huko nyuma kuwa bosi wa marefa wa UEFA ni mnazi mkubwa wa barca na ndo maana marefa wengi huipendelea barca ili kumfurahisha bosi wao naye aendelee kuwapangia mechi nyingi.ni mpaka hapo huyo jamaa atakapoondolewa kwenye hiyo nafasi ndo haki kwa timu nyingine zinazocheza na barca zitaanza kupatikana.

BTW barca ni timu nzuri sana ambayo haihitaji hata msaada wa marefa lkn sielewi kwanini marefa wanaiharibia kwa kuipa upendeleo hata kwenye mechi ambazo hawaihitaji kubebwa.
 
hili gemu lazima ni bet, na mzngo na mpa chelsea,2taftane baada ya gemu wakuu 2kale hyo hela.
 
ukweli ni kwamba barca ni timu nzuri zaidi kuliko chelsea...hivyo basi inapewa uwezekano mkubwa wa kuifunga chelsea.

mpira ni dk 90 na sio maneno waulize benfica na napoli chelsea ni zali zali tu inawezafika mbali..
 
......pamoja na mvua hizi za hapa na pale, vyura, senene na hata majongoo na konokono wamegoma kutoka
mashinoni, mnh!....
Nasubiria 1st leg mtapoifunga Baercelona, ....hehehe...

Hivi mimi na Mentor hutuoni bwana wee?...au ni jeuri zako?

Hapa darajani tunashikilia doria kwa zamu eti...lol!...🙂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom