hahahaha! jamaa mbeaaa kichizi...btw anaitwa mzee wa san ZERO!namshangaahuyo mzee wa San Siro...hahahaha
game over, 1-1. Not good enough, we don't need extra fixture in our very poor season!!
mkuu, pamoja na mapungufu ya AVB....m naona ili mpate mafanikio pale ni kuchagua kat ya yafuatayo: to get rid na aged players ambao hawa deliver, au lah kumfukuzia mbal avb ambaye nahisi kuwa hana sapoti ya wachezaj na dawat lake la ufundi...mlete kocha kibabu ambao hatapandishiwa kibesi na kina drogba...
I would stick with AVB, sio kocha mbaya lakini anatakiwa kuimprove hasa anapofanya sub. Hao Birmingham walikuwa hawashambulii kabisa, hivyi sikuona kwanini hakumtoa Meireles badala ya Mata, tulikuwa tunatafuta goli. Tatizo lake lingine nafikiri anakata tamaa mapema, aliposema kwamba EPL kwa Chelsea ndio basi tena wachezaji nao wanarelax hawajitumi maana hakuna cha kupoteza, sio nzuri kwa motivation....unakuwa nje ya title race pale ambapo ni mathematically impossible kuwa bingwa, kwa sababu hujui hizo timu za juu zitafanya nini.
![]()
Meerkat surrounded by losers .... .....
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Another blank: Torres has now gone 20 matches
without scoring for Chelsea
Mr. Bean amesema nafasi ya 4 ndio ubingwa wenuTatizo la washabiki wa Chelsick wameanza kuona vikombe wakiwa wakubwa into their 40 plus chacha ukiwauliza utotoni walikuwa wanashangilia timu gani ambayo haikuwahi kuchukua kikombe chochote ngoma inaanza. wamshukuru Mafioso maana naona wanaonewa tu wao lazima washinde mtawaona wengi leo hapa kina Mungiki brother et al .... ...... Hivi wapo kwenye cowshed wanasali pamoja na ma-Rev wao bandia ambao wapo Invisible.
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee chijui hawakutoa ngawira za kutosha leo! Chitarudi mtupe matokeo .... .... naona Mashoga wanajipitisha pitisha tu chacha ... ...