Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kocha wa Napoli kapunguza idadi ya magoli..natamani Lavezzi na Hamsik wangebaki mpaka mwisho!!
poleni sana chelshit!!
 
We can still turn things around, 2-0 at the Bridge is very possible.
Come on you Blues!
KTBFFH
 
Naam, ni kilio na kusaga meno tuu, hatueleweki kama Jamhuri fulani ya Ubabaishaji!
 
We can still turn things around, 2-0 at the Bridge is very possible.
Come on you Blues!
KTBFFH

pole sana mkuu huyu cavani ni hatari sana we acha tu tulimchekea tukaishia kwenye makundi na nyie the same story ngoja tuone hiyo second leg ipo vipi...
 
Hizo Liva na man u zipo wapi sasa????? Things do change....
Tafazali hiyo makitu hakikisha unaiwekea mared.... usijali ligi haijaisha na inshallah mwakani mtatujua sisi ni nani inapokuja UCL.
 
RIP EPL.... no English team in the Q final, corrupt, hypocritical, partisan, rubbish everything bad you name it, EPL executives are ruining what the previous leaders and pioneers built for money; buying the clubs didnt help

AISEE, INASIKITISHA SANA EPL INAPOKWENDA, ITAKUA KAMA BELGIAN LEAGUE IF THEY ARE NOT CAREFUL
Mkombozi wa EPL kwenye UCL ni Liverpool na labda kidogo Manure.

Wengine saizi yao ni kina Bolton, Sunderland, Wigan et el.
 
Tafazali hiyo makitu hakikisha unaiwekea mared.... usijali ligi haijaisha na inshallah mwakani mtatujua sisi ni nani inapokuja UCL.
Liva mwakani hata haichezi Uefa ndogo...labda mjitahidi mwaka huu mchukue Carling Cup!!
 
Liva mwakani hata haichezi Uefa ndogo...labda mjitahidi mwaka huu mchukue Carling Cup!!
Ngoja tusubiri tuone.... Chelshit na AssesNo wana jeuri ya kutuzuia?...Think Rejao, Think! Ligi bado sana hii na vijana wanazidi kuonana.
 
Ngoja tusubiri tuone.... Chelshit na AssesNo wana jeuri ya kutuzuia?...Think Rejao, Think! Ligi bado sana hii na vijana wanazidi kuonana.
Nyie nyanya tu....timu haina consistency...inafunga timu kubwa, ikikutana na timu zinazoshuka daraja inanyukwa!!
Liva zamani bana, siyo hii ya akina Carol!
 
Naam, ni kilio na kusaga meno tuu, hatueleweki kama Jamhuri fulani ya Ubabaishaji!

Rev. Kishoka umepotelea wapi wewe? Yaani unaibuka kwenye masuala ya Chelsea tuu ina maana wewe mambo ya siasa na mustakabali wa nchi yetu umeuweka kando unapambania mustakabali wa Chelsea ?

Haya Kamanda, usipotee sana tunakuhitaji sana hapa jamvini.
 
RIP EPL.... no English team in the Q final, corrupt, hypocritical, partisan, rubbish everything bad you name it, EPL executives are ruining what the previous leaders and pioneers built for money; buying the clubs didnt help

AISEE, INASIKITISHA SANA EPL INAPOKWENDA, ITAKUA KAMA BELGIAN LEAGUE IF THEY ARE NOT CAREFUL

Marefa (kama Webb) na waandishi wa habari wanachangia kuiharibu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom