Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,396
- 6,023
Sawa, basi naomba unitajie link ya kutizama mpira online MkuuMalizeni kazi yetu leo, toeni draw tu.
Sawa, basi naomba unitajie link ya kutizama mpira online MkuuMalizeni kazi yetu leo, toeni draw tu.
Sawa, basi naomba unitajie link ya kutizama mpira online Mkuu
Sawasawa Mzee BabaSina link bro, naangalizia kwenye TV leo.
Kuna watu wanashabikia hiyo timu lakini hawajawahi kuona ikibeba hilo kombe,Mungu ni mkubwa sana.....Leo Liverpool wanatangazwa mabingwa wa England baada ya takriban miaka 30 bila ubingwa huo.
Hahahahahaha hapa leo turubai lazma litundikweUwanja umeinama huu.
Tulia mkuu, kuna jambo Pep alikuwa anataka kulifanikisha kuwa na subraKocha ananisikitisha sana, mpaka sasa msimu unaisha hajui kupanga kikosi.
Tumelemewa kila idara
Hahahahahaha hapa leo turubai lazma litundikwe



Utanistua basi wakifanikiwa kutenda miujiza...Malizeni kazi yetu leo, toeni draw tu.
Don Clericuzio kaamia LFC lini?We Mzee wa Liverpool nawe hujui au ndiyo tushasahauliana kwa kipindi kifupi hiki cha mpito wa corona?
Ingia google andika hesgoal utachagua mechi uitakayoSawa, basi naomba unitajie link ya kutizama mpira online Mkuu
Tukishinda leo tutakuwa na confidence alafu Lampard atawa prove wengi wrong..
Viva Chelsea
CFC![]()
Bila kusahau mtakuwa mmewapa vijana wangu ubingwa wakiwa hotelini wanakunywa wineTukishinda leo tutakuwa na confidence alafu Lampard atawa prove wengi wrong..
Viva Chelsea
CFC![]()
Utanistua basi wakifanikiwa kutenda miujiza...
Basi tena. Mungu kaamua kuweka kambi AnfieldKuna kila dalili za miujiza leo.