Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

#EPL: Ligi kuu soka England, huenda ikarejea wiki ya kuanzia Juni 8 mwaka huu, baada ya kikao cha jana cha majadiliano ya lini wachezaji wataruhusiwa kufanya mazoezi ya pamoja.

Klabu zimekubaliana kwamba mazoezi yataanza mei 18 mwaka huu na mechi zitaanza kuchezwa bila mashabiki wiki tatu baadaye, lakini serikali ya Uingereza imesema itahakikisha wachezaji wanafuata njia za kujilinda zaidi na virusi vya #Corona.

Jarida la #Sportsmail, limeripoti kuwa, katika majadiliano yaliyofanyika, klabu zinataka ligi imalizike juni 30 ili kuondoa ugumu wa kuwaongezea mikataba wachezaji, pamoja na mikataba ya kibiashara.

#EPL #Chelsea #

Sent using Jamii Forums mobile app
 
#EPL: Ligi kuu soka England, huenda ikarejea wiki ya kuanzia Juni 8 mwaka huu, baada ya kikao cha jana cha majadiliano ya lini wachezaji wataruhusiwa kufanya mazoezi ya pamoja.

Klabu zimekubaliana kwamba mazoezi yataanza mei 18 mwaka huu na mechi zitaanza kuchezwa bila mashabiki wiki tatu baadaye, lakini serikali ya Uingereza imesema itahakikisha wachezaji wanafuata njia za kujilinda zaidi na virusi vya #Corona.

Jarida la #Sportsmail, limeripoti kuwa, katika majadiliano yaliyofanyika, klabu zinataka ligi imalizike juni 30 ili kuondoa ugumu wa kuwaongezea mikataba wachezaji, pamoja na mikataba ya kibiashara.

#EPL #Chelsea #

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaa natamani tungekuwa na mechi nyingine na nyie mana ndio sehemu tunayokuwa na uhakika 100% wa kupata mipointi[emoji1]
 
Kati ya mchezaji nisiyependa aje Darajani ni Countinho. Namuona kama ataendelea kuwa flop hata darajani. Ni bora tumpe Willian mkataba wa miaka mitatu kuliko kumsajili Countino labda kama tutapewa kwa mkopo
Una akil sana
 
HII IMEKAAJE
Barcelona are ready to offer Chelsea a huge swap deal which would see N’Golo Kante moving to the Nou Camp and Philippe Coutinho in the opposite direction to Stamford Bridge.
Huyu kashakuwa flop ,na atakuja hapo kuwa flop

Angalia akiwa baryen kwann hawambakiz , Leo atacheza vzr ,mech 5 ovyo

Ni chini ya klopp tu ndio aliwika sana ,na klopp alimchezesha no.8 chini ya mfumo anaoujua yeye klopp ,barca wakaingia chakike
 
Kutokana na taarifa zilizotangazwa na SkySports kuwa Barca wameipa Chelsea ofa ya kumnunua Phillipe Coutinho, ujio wake Chelsea sasa ni dhahiri
Coutinho anacheza Zaidi kama kiungo mshambuliaji wa kushoto, pia anaweza kucheza kama Kiungo mshambliaji wa katikati na au Winga wa kushoto au kulia
Ujio wake unaweza kuwapunguzia muda wa kucheza wafuatao

  1. Christian Pulisic - winga wa kushoto
  2. Mason Mount - Kiungo mshabuliaji kutokea kushoto au winga wa kushoto
  3. RLC - Kiungo mshambuliaji kutokea kushoto au winga wa kushoto
  4. Ross Barkcley - Kiungo mshabuliaji kutokea kushoto au katikati
  5. CHO hasa kwa ujio wa Coutinho na Ziyech utampunguzia muda wa kucheza sana
 
EPL ikifutwa Chelsea hawatashiriki UEFA mwakani kwa sababuya Coeficient Factor ambayo UEFA wanataka kutumia kama kigezo cha kushiriki UEFA
 
Ili kufuzu kushiriki Ligi ya Mabingwa msimu ujao na Ligi ya Europa, timu italazimika iwe kwenye viwango vya juu vya ubora wa mashindano ya UEFA.

Maafisa wa juu wa Shirikisho la soka barani Ulaya leo wamekutana tena kujadili juu ya athari zinazoongezeka za janga la Corona.
 
Coutihno soon is coming back to English Premier ..and now is London

Coutihno will be blue soon

Welcome bro ..to the great team & praidi of London (ndo ivyo au nmekosea[emoji3][emoji3])

#CFC[emoji170][emoji170]

Sent using Jamii Forums mobile app

COTINYO AJE CHELSEA, ZIYECH AKITUA AKUTANE NA FUNDI CONTINYO WAJENGE UMOJA TAKATIFU.

SIO ZIYECH ATUE AKUTE MAVICHWA PANZI ODOI NA MOUNT, TUTAISHIA KUMLAUMU ZIYECH BURE.
 
Coutihno soon is coming back to English Premier ..and now is London

Coutihno will be blue soon

Welcome bro ..to the great team & praidi of London (ndo ivyo au nmekosea[emoji3][emoji3])

#CFC[emoji170][emoji170]

Sent using Jamii Forums mobile app
Namkubali Sana coutinho bonge la player nitafurahi Sana akija darajani.
 
Ligi ya Uholanzi (Eredivisie) yafutwa, hakuna bingwa hakuna promotion wala hakuna kushuka daraja.
The cancellation of the Dutch top flight is, however, good news for Chelsea, as it means that Hakim Ziyech's impending move from Ajax is set to go ahead on July 1 as planned.
1587770908361.png
 
Giroud akubali mkataba mpya wa mwaka mmoja

1587769150900.png

Giroud agrees Chelsea contract extension?

Chelsea have agreed a one-year contract extension with veteran striker Olivier Giroud, according to Italian journalist Gianluca Di Marzio.
 
1587776867401.png

Ndoto za Man U kumsajili Jadon Sancho zazidi kufifia baada ya hiyo klabu kukumbwa na upungufu wa ngawira uliosababishwa na virusi vya corona. Pia ndoto hizo kufifia zimechangiwa pia na klabu ya DVB kuamua kumfanya Sancho kuwa ndie mchezaji anayelipwa sana klabuni hapo na hivyo kufanya majadiliano yeyote ya kuhamia Man U au Chelsea kuchukua sura mpya ya ada za uhamisho na makubaliano binafsi ya mshahara
 
Everton wanataka kuwapiku Chelsea kwenye usajili wa Phillipe Coutinho. Ripoti kutoka Diario Sports nchini Uhispania zinadai kuwa Calos Ancheloti anakusudia kuingia kwenye msafara wa kumsajili kiungo mshambuliaji huyo wa zamani wa Liverpool baada ya kushindwa kuonyesha makali yake huko Camp Nou na baada ya pia klabu ya Bayern Munich nchini Ujerumani kukataa kugeuza mkataba wa mkopo wake kuwa wa kudumu.
1587771213712.png
 
Fursa walionao Chelsea Katika kumsajili Lautaro Martinez imeongezeka baada ya redio nchini Uhispania ya radio Cadena Ser kudai kuwa Messi anampendelea Neymar zaidi ya Lautaro
1587771152274.png
 
Giroud akubali mkataba mpya wa mwaka mmoja

View attachment 1429584
Giroud agrees Chelsea contract extension?

Chelsea have agreed a one-year contract extension with veteran striker Olivier Giroud, according to Italian journalist Gianluca Di Marzio.
Chelsea wamefanya uwamuzi sahihi Cha msingi hapo batshuayi auzwe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom