Hapo Sina uhakika Sana na TomoriMason Mount, Reece James, Billy Gilmour na Fikayo Tomori wana future nzuri kwenye mpira wa miguu
Tuendelee na gossip za transfer hata kama tunaomboleza mauaji ya kinyama yanayoendelea kutokea Ulaya na Marekani kwa sababu ya COVID-19
Huko nyuma niliwahi kusuggest Kante auzwe kama pesa nzuri itapatikana ili tuimarishe kikosi kwa kuwanuanua wachezaji wanaoendana na falsafa na mfumo wa Lampard nikashambuliwa kana kwamba sijui ninachokiongea
Sasa yametimia, Uongozi wa Chelsea wameweka dau la Kante, USD mil 100
Real Madrid wanamtaka ila wana wasiwasi kama wataeza mlipa dola laki 380 kwa wiki, kiwango anacholipwa hapo Chelsea
Juventus nao walimtaka ilia wamefyata baada ya Chelsea kuweka dau
Kwa nini Chelsea wanaona wamuuze akiwa bado ana dhamani!
Wote tunakumbuka kuwa Kante aliimerge kuwa DM mzuri kwenye mfumo wa counter attack kule Leicester city na baadaye akaendeleza moto huo huo Chelsea chini ya Conte
Alipokuja Sarri ambaye mfumo wake ni wa pasi fupi fupi na ball possession, Kante akajikuta afit kwenye mfumo, akapewa majukumu mapya ya kushambulia Zaidi ya defensive roles
Alipokuja Lampard tukadhani angerudiswa kwenye majukumu yake badala yake ndio ikawa balaa Zaidi kwa Kante Kwani Lampard kaja na falsafa ya kupeleka mpira kwa kasi, pasi fupi fupi na kumiliki mpira kama Sarri, hapa pia bado Kante hakuweza kufit kwenye DM akaendelea kutumika mbele.
Sasa uongozi wa Chelsea wanaona akiuzwa angali akiwa bado na dhamani wanaweza kutumia pesa kununua wachezaji wanaoendana na falsafa na mfumo wa kocha.
Aondoke alafu unambakisha mtu Kama jorginho Chelsea haipo serious alafu hainunui mbadalaTuendelee na gossip za transfer hata kama tunaomboleza mauaji ya kinyama yanayoendelea kutokea Ulaya na Marekani kwa sababu ya COVID-19
Huko nyuma niliwahi kusuggest Kante auzwe kama pesa nzuri itapatikana ili tuimarishe kikosi kwa kuwanuanua wachezaji wanaoendana na falsafa na mfumo wa Lampard nikashambuliwa kana kwamba sijui ninachokiongea
Sasa yametimia, Uongozi wa Chelsea wameweka dau la Kante, USD mil 100
Real Madrid wanamtaka ila wana wasiwasi kama wataeza mlipa dola laki 380 kwa wiki, kiwango anacholipwa hapo Chelsea
Juventus nao walimtaka ilia wamefyata baada ya Chelsea kuweka dau
Kwa nini Chelsea wanaona wamuuze akiwa bado ana dhamani!
Wote tunakumbuka kuwa Kante aliimerge kuwa DM mzuri kwenye mfumo wa counter attack kule Leicester city na baadaye akaendeleza moto huo huo Chelsea chini ya Conte
Alipokuja Sarri ambaye mfumo wake ni wa pasi fupi fupi na ball possession, Kante akajikuta afit kwenye mfumo, akapewa majukumu mapya ya kushambulia Zaidi ya defensive roles
Alipokuja Lampard tukadhani angerudiswa kwenye majukumu yake badala yake ndio ikawa balaa Zaidi kwa Kante Kwani Lampard kaja na falsafa ya kupeleka mpira kwa kasi, pasi fupi fupi na kumiliki mpira kama Sarri, hapa pia bado Kante hakuweza kufit kwenye DM akaendelea kutumika mbele.
Sasa uongozi wa Chelsea wanaona akiuzwa angali akiwa bado na dhamani wanaweza kutumia pesa kununua wachezaji wanaoendana na falsafa na mfumo wa kocha.
We Jamaa unanipaga raha sana mzee Wa Capital letterLAMPARD AONDOKE NA MFUMO WAKE WA OVYO
Hapana the blues need N'gole kante kuliko mchezaji yoyote on him we build the team....Ana exprience na middle fielder mzuri sana na pia ni flexible player.....HII IMEKAAJE
Barcelona are ready to offer Chelsea a huge swap deal which would see N’Golo Kante moving to the Nou Camp and Philippe Coutinho in the opposite direction to Stamford Bridge.
Give reasons why shld be out and compare him with other coaches in performance, tell us his key weaknesses and alternative of him......don't just play slogan of out with no logic.......LAMPARD OUT
Kati ya mchezaji nisiyependa aje Darajani ni Countinho. Namuona kama ataendelea kuwa flop hata darajani. Ni bora tumpe Willian mkataba wa miaka mitatu kuliko kumsajili Countino labda kama tutapewa kwa mkopoHapana the blues need N'gole kante kuliko mchezaji yoyote on him we build the team....Ana exprience na middle fielder mzuri sana na pia ni flexible player.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli Williams anaweza akashikilia kidogo kuliko countninho, ila nayeye umuri umesogeaKati ya mchezaji nisiyependa aje Darajani ni Countinho. Namuona kama ataendelea kuwa flop hata darajani. Ni bora tumpe Willian mkataba wa miaka mitatu kuliko kumsajili Countino labda kama tutapewa kwa mkopo
HAHAHAHAHA MPUUZE MZEE WA KWENDA VICE VERSANdio mana nakwambiaga ww mpira huujui.