lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,482
Mbona hukuja kutoa mrejesho wa points 3 za jana?Labda kwa kuwa hufatilii mech nyingine ndio maana ni rahis kusema hivyo
Umejihakikishia kabisa Leo hatushindi ,ni sababu hufatilii ,ARTETA kaibadilisha vipi timu , kafungwa mech 1 tu , na mwaka huu hatujafungwa ,
Kama unaamini nafas ya 4 mmeshaikatia garantii ngoja uone Mbelen ,
Kilichomkost Arteta adraw mech za katibun ni Ku implement tactic, suspension za wachezaji ,na injury , lkn bado Timu imeweza kucheza vzr ,
Baada ya Leo tutakuwa tumebakiza point 3 kwenda nafas ya 5 , then unajua kwa trend ya timu yako , tripu shamba tripu garage
Dembele ni egular strikerTunaomba pia utuletee pia statistics za Timo Werner na Musa Dembele
Sent using Cash Money Wings
MOU ni kocha wa mechi kubwa, akikutana na akina Southampton analalaIla wazee TOTE ameshawasha taa ya kijani gap la point 4, tulale naye mbele kwa mbele.
Sent using Cash Money Wings
Siku akisajiliwa huyo kunawatu watakuja watasema lampard anajaza waingerezaJana nimemuangalia kipa wa BURLEY - Pope namuona kama mzuri mzuri yupo makini golini. Nadhani tumsajili.
Sent using Cash Money Wings
Tuna game naye hapo najua lazima atataka kulipiza kisasiIla wazee TOTE ameshawasha taa ya kijani gap la point 4, tulale naye mbele kwa mbele.
Sent using Cash Money Wings
Kepa aende tu.Lampard has now told Chelsea chiefs he wants to offload the Spain international and bring in a new goalkeeper for next season,
Discussing his decision to leave Kepa out against Leicester, Lampard said: ‘It’s a decision I have not taken lightly. ‘They train together, they are are close and it’s one I thought I’d make for this game. I trust in Willy, he’s very professional.’
Hata mimi nilitakaga kukoment huko nyuma, Watanzania tuna fujo na ubaguzi sana. We angalia Twitter ya Aston Villa ilivyovamiwa na Watanzania wakiwakashfu wachezaji wa Aston Villa hasa Jack Grealish kwa kumnyima pasi Samatta. Hao wabongo wakaanza kuingiza na maneno ya racism hata kwenye kunyima pasi tuSiku akisajiliwa huyo kunawatu watakuja watasema lampard anajaza waingereza
Sent using Jamii Forums mobile app
Asley Cole alikuwa mwingerezaIshu sio utaifa bali ni ubora wa viwango vya wachezaji. Kuna wakati tofauti tofauti tulikuwa na waspain kibao:-
Torres
Azipiculeta
Fabrigas
Pedro
Costa
Alonso
Morata
Wakati huu tupo na waingereza, hizi ni zama zao watuonyeshe ubora, watupe mafanikio
Odoi
Mount
Tammy
Barkely
Tomori
Baadae zitakuja zama za mataifa mengine, usajili hauna mipaka, mchezaji bora wa taifa lolote atasajiliwa.
Kama timu tunachotaka ni mafanikio bila kujali utaifa au rangi bali tuu uwezo wa mchezaji.
Sent using Cash Money Wings
Kunyooshewa kidole kama mchezaji ni jambo moja na kunyooshewa kidole kwa jina la utaifa ni jambo jingine. Kama mchezaji ana madhaifu tusiseme hawa waingereza, huo ndio ubaguzi mkubwa ninaousemeaKwani hawa waingereza wa sasa WAMEBAGULIWA?, sijaona mahali wamebaguliwa bali kunyooshewa kidole kwenye ubora wa viwango vyao.
Mchezaji yupi Chelsea ambaye hanyooshewi kidole pale anapocheza chini ya kiwango?
Willan huwa ananyooshewa kidole
Kante sometimes ananyooshewa kidole
Azipiculeta ananyooshewa kidole.
Odoi, Mount, Barkely, Tammy na wengine wakinyooshewa kidole WANABAGULIWA.
Kunyooshewa kidole/kusemwa ni jambo la kawaida kwamba umecheza chini ya kiwango next time jitume zaidi na zaidi kufikia ubora unaotakiwa.
Kwahiyo mchezaji akicheza ovyo tukae kimya tuu tusikosoe? Lampard mwenyewe baada ya mechi anatoa mapungufu ya wachezaji, na kuahidi ataendelea kuyafanyia kazi.
Hakuna mchezaji Chelsea anayebaguliwa na mashabiki hayo ni yako umeyasema wewe.
Sent using Cash Money Wings
Tuko pamojaSawa mkuu tumekuelewa. Neno WAINGEREZA tutalifuta kuanzia leo. Tupo pamoja.
Sent using Cash Money Wings
Hapo kwa grealish, ukweli kama ni mtu uliyekuwa unafatilia mechi za aston vila kuanzia wapo championship or msim huu tangu walivyopanda hizi kelele zote zisingekuwepo shida watu ndio kwanza wameanza kuangalia mechi za aston villaTatizo lako we jamaa ni mgumu kuelewa, hutakagi mtu apost anachoona yeye kwa mtazamo wake. Wanaomattack Grealish kuwa ni mbisafsi mi naona ni kweli, mana ni kweli yule jamaa ni mbinafsi,sema tunapokosea watanzania ni ile kukosoa kw kutukana tu basi.
Halafu hatusemi kuwa Chelsea kusiwe na waingereza, hata ikiwezekana wawe waingereza wote wawe wanaperform vizur, kinachoboa unakuta mchezaji hafanyi vizur kisa tu ni mwingereza atakaa dk. zote 90 hafanyiwi sub. Au angekua Kepa ni mwingereza sizani kama lampard hat angefikiria kumuuza na wala hata asingekaa akasugua benchi hat siku moja.
Kepa ni mistake ngapi amefanya till now ujue maamuzi ya kumuuza kepa huwa sio rahisa yani mpaka mtu akianza kumpigisha bench kipa wake namba 1 ujue ameshindwa kuvumilia makosa tenaTatizo lako we jamaa ni mgumu kuelewa, hutakagi mtu apost anachoona yeye kwa mtazamo wake. Wanaomattack Grealish kuwa ni mbisafsi mi naona ni kweli, mana ni kweli yule jamaa ni mbinafsi,sema tunapokosea watanzania ni ile kukosoa kw kutukana tu basi.
Halafu hatusemi kuwa Chelsea kusiwe na waingereza, hata ikiwezekana wawe waingereza wote wawe wanaperform vizur, kinachoboa unakuta mchezaji hafanyi vizur kisa tu ni mwingereza atakaa dk. zote 90 hafanyiwi sub. Au angekua Kepa ni mwingereza sizani kama lampard hat angefikiria kumuuza na wala hata asingekaa akasugua benchi hat siku moja.
Lini hii?FA ROBO FAINALI
Chelsea vs Liverpool
Sent using Cash Money Wings